Hizi ni sababu tosha za Hajji Manara kufukuzwa Simba SC

Matusi , kejeli, dharau kwa watu wenye ulemavu wa ngozi, we we ni mmoja wa watanzania wenye matusi kejeli na dharau kwa walemavu wa ngozi, kama una hasira sana na riziki yake anayopata nenda kamuue basi tujue moja.
 
manara ni mpumbavu mmoja tu, ambae hakutakiwa kuwapo kwenye soka, hana mchango wowote
 
Unavyomuwazia Manara kufukuzwa Simba na wewe ndivyo watu wanakuwazia ufukuzwe kazini kwako. Uache upumbavu wa kuwawazia watu mabaya deal na maisha yako hutapungukiwa kitu.

Ya Ngoswe muachie Ngoswe.
 
Reactions: RTI
Kwa mwenye kiwango kizuri cha elimu wala hapat shida. Ni kawaida tu. Ikiwa hakuna kipengele cha kimkataba ktk kaz yake kinachomzuia. Manara mtu km watu wengine

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 

Kwahiyo taasisi/kampuni ya Bakhressa/Azam/Azam Media hazina Weredi/Weledi au? 😂😂
Jamani WaTZ kwa ujuaji usipime!! Usikute kwenye Akaunti yako humiliki hata Tsh. 100M halafu unaita Taasisi/Kampuni ya Mtu anayemiliki Trillions kuwa haina Weredi kwasababu inafanya kazi na Manara. 😅
 
Sasa ualbino umeingiaje? Punguza chuki mjomba Mungu anakuona ujue
 
Wanaomponda Manara wengi ni Yeboyebo Fc, Miamala FC, Vyura FC, Manyani FC, Utopolo FC!


Mnavyomponda ndo anaendelea kupiga mihela tu!

Ngoja awanyooshe mpaka mkome!
 
Kuna ka ushamba flani watanzania tunako, haka ka kuhisi kuwa na follower wengi instagram basi una nguvu sana. Ni ushamba ambao utatuletea matatizo makubwa sana siku chache zijazo.
Kama jamaa yetu Mondi anasahau koffi ndo anambeba pale. Waah
 
Ni kweli kabisa.
 
Tatizo lenu mnahisi kila atakamdis uyo manara ni yanga tu.

Punguzeni jazba viongozi wenu hawajielewi kwenye hii ishu!!
 
Hata mimi hujiuliza hivi simba ingekua haifanyi vizuri nani angeipenda no matter hata manara angehamasisha vipi.
 
Kuna ka ushamba flani watanzania tunako, haka ka kuhisi kuwa na follower wengi instagram basi una nguvu sana. Ni ushamba ambao utatuletea matatizo makubwa sana siku chache zijazo.
Huwezi puuza nguvu ya social media in this century,
 
Sasa ww utoporo inawa husu nn?
Au nyie wenye wenye wasemaji wasio kuwa na uswahili timu yenu imefika wapi? utoporo.
Jinga kweli, yani we unaamini manara ndo ameifikisha simba ilipofika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…