Hizi ni sababu za figo kushindwa kufanya kazi (kufeli)

Hizi ni sababu za figo kushindwa kufanya kazi (kufeli)

Mnapoteza muda tu siku yako ikifika wafwaa...unywe maji au chumvi ndogo na sukari ndogo
Upo sahihi kifo kipo palepale ila tunapaswa Kuzingatia ulaji mzuri kwa afya na kwa kiasi ili kuboresha afya zetu na kutojiweka hatari na magonjwa ambayo yanaweza kuepukika...
 
Hapo kwenye chumvi asee, nahisi kiwango cha chumvi nachopendelea ni kikubwa maana sehemu nyingi lazma niongeze kwenye chakula. Pia insemekana wanasema chumvi haikupikwa katika chakula ina athari zaidi
Yah hata mimi kuna kipindi nilikua napenda chumvi sana ila nikaja kupunguza matumizi yake...
Vile vile hata matumizi ya sukari,nimepunguza sana
 
Yanaogopesha na ni mengi hata hupaswi kuyazingatia sana... ndio maana wanasema tuishi tu mkuu.
Ukisikiliza kila ushauri unaweza changanyikiwa..
mfano kuna baadhi wanasema mafuta ya wanyama ni mazuri kuliko mafuta ya mbegu,wengine wanakaa pia
Sasa usipokua makini utachanganyikiwa utumie yapi
Cha muhimu ni kufanya mambo kwa kiasi tu
 
Back
Top Bottom