Kwanza jiulize we ni nani na unamchango gani kwa mafaniko ya daimond jibu lake kalitoa mzee mkapa. We nani mbele ya daimond usipompenda wewe atapungukiwa nini alichukiwa na watu wa maana mwisho wa siki wakanyooka kafie mbele.
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.
Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!
Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.
Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.
Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.
Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.
Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.
Kwendraaa, kwani huyo domo ni nani kwangu hadi iwe lazima nimpende?
Au kuna ulazima wa kumpenda? Simpendi na wala sitokaa nimpende.
Kajinyonge vizuri sasa.
Sasa kama humpendi kelele za nini hapa jukwaani afu dimond hana time na vinuka mkojo hata umchukie kazi bure demu wake mzuri na ana pesa akimpenda yeye inatosha mbona ukawa wapo madereva bodaboda kibao tu na vibaka wenzio si mpendane mukazae kunguru mbele ya safari huko.
Hahahaaaaa, nimekusoma janja yako unataka unitoke katika mood kisha tubishane na kutoleana maneno machafu hapa mwisho nipigwe ban.
Poleeee! King Kiba atosha, furaha aliyonipa leo hakuna wa kuivuruga.
Sasa kama humpendi kelele za nini hapa jukwaani afu dimond hana time na vinuka mkojo hata umchukie kazi bure demu wake mzuri na ana pesa akimpenda yeye inatosha mbona ukawa wapo madereva bodaboda kibao tu na vibaka wenzio si mpendane mukazae kunguru mbele ya safari huko.
Huo ndio ukweli daimond hakujui na hana mda ba wewe hivyo kumchukia kwako hakuna maana yoyote zaidi ya kujipa vidonda vya tumbo tu.
UTANYOOKA TU
Kajinyonge mbele kwa mbele.
Utaishia kusifia wanaume wenzio mpaka siku yako ya mwisho.
Umekuja kumu attack mtoa mada, na vimaneno vyako vya taarabu.
Kinuka mkojo mkubwa wa kwanza ni wewe.
Hahahaaaaa, hata mimi sina muda wa kujulikana na yeye.
Ali Kiba wangu ananijua na anajivunia kuwa na shabiki kama mimi.
Hili kwangu linatosha kabisa.
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.
Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!
Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.
Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.
Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.
Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.
Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.
Ukisikia kwiih! Imeingia
Na kwa kujua unamapenzi na kiba ndio maana wengine tunaheshimu maamuzi yako na hatuwezi kukuandika humu au kuonyesha chuki zetu kama unavyofanya wewe sawa?
Ukisikia pooh ujue imepwaya!
Na ukisikia kwinyuuu ujue imechomoka.!
Alamsiki