Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

Kiba ana account humu ndani nifah unalijua hilo???..
Kwa hiki kipindi tumeacha ma hero wanalinda na kuhakikisha mipango inaenda sawa. pwilo na Shardcole na wengine weengi wanapambana na kundi kubwa la maadui wa kiba wapo wawili ila kama mia vile....na wwngine tukiwa tunahakikisha mambo ya ukawa yanaenda sawa.
Hawa jf hamna wanachokijua zaidi ya kiba kweli ni makada. Bigg up kwao.

Mhhhh! Mumy mbona tulimuuliza akakataa kuwa hana account huku ila huwa anapita tu kusoma kama guest visitor?
Ngoja nitafanya mpango na Abou Saydou tumpate tena.
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh! Mumy mbona tulimuuliza akakataa kuwa hana account huku ila huwa anapita tu kusoma kama guest visitor?
Ngoja nitafanya mpango na Abou Saydou tumpate tena.

Anayo account na hichi kitu nilishamwambia Ms.Lincoln siku moja.. ila ujue nini hawezi ku kusema user name yake... maana patakuwa na personal attack.
Usikute hata ni lukelo sakafu hahagagahahahaaaaaa....
 
Last edited by a moderator:
Walikuja kuangalia wasanii wewe acha upumbavu! !
Mmesomba watu na malori mnaita kujaza na kuwapa hela juu! You people are so hopeless!

Rejea mafuriko ya ukawa kama utaona gar linamwaga watu uwanjani! ?

Wapumbavu sisi au nyinyi?
Nyinyi mshaelezwa kuwa ni MALOFA.
 
Magufuli hawezi kuwa rais wa nchi hii ni ndoto za mchana unaota kama yeye jana jioni saa 12 anasema ni mchana kweupeeee!

Tena aliota sana!
You can imagine jana ndo anashangaa dent wa chuo kuokosa mkopo?
Eti wakulime hawatakosa mbegu tena? Swali ni je Kwanini walikuwa wanakosa? Na kwa nini hawatakosa?
 
Anayo account na hichi kitu nilishamwambia Ms.Lincoln siku moja.. ila ujue nini hawezi ku kusema user name yake... maana patakuwa na personal attack.
Usikute hata ni lukelo sakafu hahagagahahahaaaaaa....

Hilo nalo neno mumy.

Hahahaaaaa, hawezi kuwa huyo bwana.
 
Last edited by a moderator:
Unajua nyinyi ukawa ni wafa maji tuuuu. Mnajaeobu kushika hapa na pale ili muokoke lakoni wapi. Jahazi lenu lishazama na mhombea wenu pia keshajua kuwa jahazi.linazama na hivi karibuni atajitoa kwenye kinyang'anyiro kwa kuogopa aibu itakayomkuta. Subirini mtaona muda si mrefu.
 
Mkae mkijua kuwa ushindi kwa CCM ni lazima mwaka huu. Na lazima maana yake ni kwamba mtake msitake. Na tuone kama huyo mtu wenu ataingia IKULU. atabaki kuitizama kwa nje wakati akienda Ferry kununua samaki kwa ajili ya kubordsha Afya yake.
 
Hahahaaaa au ndio wew nini nifah tujuzanee.
Ulimwangalia vizuri abou? Sio kiba kweli..?

Hahahaaaaa, mimi ni mdada bwana.
Sio Abou Saydou, huyu dogo tunajuana vizuri tu.
Maana mwanzoni nilikua nahisi Abou ni Abdu Kiba ila wala siye.
 
Last edited by a moderator:
uploadfromtaptalk1440399928827.jpg
Magufuli Hana kashfa wala si Fisadi.Lowassa katuibia mpaka akafukuzwa uwaziri mkuu Leo tumchaguwe haiwezekani aisee. Na tutaunda Mahakama maalumu lazima tumpeleke gerezani.

Magufuli Hana kashfa wala si Fisadi.Lowassa katuibia mpaka akafukuzwa uwaziri mkuu Leo tumchaguwe haiwezekani aisee. Na tutaunda Mahakama maalumu lazima tumpeleke gerezani.
 
Tena aliota sana!
You can imagine jana ndo anashangaa dent wa chuo kuokosa mkopo?
Eti wakulime hawatakosa mbegu tena? Swali ni je Kwanini walikuwa wanakosa? Na kwa nini hawatakosa?

My dear, CCM ndio walewale wala hatuna haja ya kuwashangaa kwa lolote.
Jamani Africa nzima na dunia kiujumla watatushangaa kama tutawachagua CCM tena.
 
Hahahaaaaa, mimi ni mdada bwana.
Sio Abou Saydou, huyu dogo tunajuana vizuri tu.
Maana mwanzoni nilikua nahisi Abou ni Abdu Kiba ila wala siye.

Hahahaaaa nawazingua tuu mamy..
Abou nampataa kinomaaa...hahahaaa asije nivamia tuu...na ni dogo kwelii..
Ila mimi sijasema wew ndio umesema nifah.
 

Attachments

  • 1440400001528.jpg
    1440400001528.jpg
    10.9 KB · Views: 75
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom