Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #221
Unajua nyinyi ukawa ni wafa maji tuuuu. Mnajaeobu kushika hapa na pale ili muokoke lakoni wapi. Jahazi lenu lishazama na mhombea wenu pia keshajua kuwa jahazi.linazama na hivi karibuni atajitoa kwenye kinyang'anyiro kwa kuogopa aibu itakayomkuta. Subirini mtaona muda si mrefu.
Hahahaaaaa! Rudi darasani wewe kilaza unatia aibu.
No wonder unaishabikia CCM!