abdulraman
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 150
- 20
Hujitambui. Unaota mchana. Kwamba LOWASSA ikulu atabakia kuitamani tu. Na keshavurugwa na yeye. Eti leo amepanda daladala gongola Mboto ili kujua kero za wananchi. Alikuwa wapi toka mwaka 1977??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huwa ana kama kimuhe muhe, sehemu yeyote wakimtaja Kiba anachanganyikiwa kabisa
Hamna lolote nyinyi ni makapi tuuu. Mnatamani msivyoweza kuvipata. Lazima mchanganyikiwe mwaka huu. Na namba mtaisoma. Kudadadeki.
Huyo popoma kama Lumumba wanampa buku 7 naona wanamuonea, wampe 20 maana povu analomwaga sio mchezo!
Vizuri sanaWewe kibaraka wa Zitto huna la kusema hapa. Pita kimyakimya tu.
Mtajijuuuu. Mumeishiwa nyinyi na msubiri. Ushindi wa CCM mwaka huu ni kuanzia 70%.ili kumshikisha adabu huyo babu yenu. Mpaka asseme kuwa CCM ndo baba yake na mama yake.
Unakunjwa wewe!
Nina uhakika kuna ndugu zako wameshindwa pata elimu coz wewe popoma umenunuliwa kwa buku 7! Na hujawahi kujiuliza kwanini had leo wazazi wako wanatumia jembe la mkono!
Na huna muda coz umelidhika na kukunjwa! !
Kumbe? Nimeshangaa kaja na mambo ambayo hata sijayaongelea kabisa.
Wao watajijua wenyewe na domo wao wa CCM. Sisi King wetu walaaa hatuna wasiwasi.
Hujitambui. Unaota mchana. Kwamba LOWASSA ikulu atabakia kuitamani tu. Na keshavurugwa na yeye. Eti leo amepanda daladala gongola Mboto ili kujua kero za wananchi. Alikuwa wapi toka mwaka 1977??????
Ungejua kuwa sisi sote kwenye familia yetu tumesoma. Mwenye elimu ndogo mpaka sasa kwetu yuko form five na yuko bright mno hivyo uwezekano wa yeye nae kufika university ni mkubwa kwa uwezo wa mungu.Na mimi mwenyewe nina Masters.
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.
Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!
Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.
Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.
Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.
Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.
Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.