abdulraman
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 150
- 20
Mumenuna??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua kuwa sisi sote kwenye familia yetu tumesoma. Mwenye elimu ndogo mpaka sasa kwetu yuko form five na yuko bright mno hivyo uwezekano wa yeye nae kufika university ni mkubwa kwa uwezo wa mungu.Na mimi mwenyewe nina Masters.
Jamaaaaan! Thank God amekufunua rasm!
Kumbe wewe kuwa na masters ndo ndoto za ukoo wenu!?
No wonder ukishashiba unaona waliokufa hawana maana! !
Napoteza muda kujibizana nawewe hapa! ! ! Fokofu kabisa! Unadinywa kabisa wewe trust me jichunguze
Yani kuna huyu rafiki yako ananichekesha.Anaropoka tu, kama amepandwa maruhani, afu nkishaona kajina kake nascroll chini tu, najua ni pumba plus plus.
Ccm hamniambii kitu.
Ujumbe wako hapo juu.
Kudinywa ni mchezo tu. Kama unaona wivu njoo tukudinye na wewe.
eti nina master, mshkaji wangu dick sound ana maisha mazuri na anaendesha ndinga kali, unajua elimu yake
Suala la elimu yangu muliuliza wenyewe. Ndo nikawajibu.wewe unajua mimi natembelea gari gani??
Kumbe Dick Sound ni mshkaji wako? Hizi fake id's ziheshimiwe tu.
I mean huenda tunafahamiana lakini tuendelee kufurahia fake id's zetu.