Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

Juzi king kala million 25 kimyakimya kama upepo...katoka Kenya kapiga tukio bongo akarudi zake Kenya kimyakimya. ..
 
Hahahaaaaa, kaka hata wewe ukizingua ukae mbali na mimi.
Sitaki urafiki na wajinga wanaotaka kuiangamiza nchi yangu kipenzi Tanzania.

nimekubali mawazo yako. bigup sana nifah.
heshima pia kwa Alikiba
 
Last edited by a moderator:
Mfalme Kasema Rais wake Magufuli...wa UKAWA...
 
Kimbley leo una furaha sana ila sawa no way out
 
Last edited by a moderator:
Kimbley leo una furaha sana ila sawa no way out

mkuu vipi, na alikiba atashuka kama diamond??

maana page zao za kisanii wamebadilisha uwanja wa kujieleza kisiasa hahaha
 
Last edited by a moderator:
mkuu vipi, na alikiba atashuka kama diamond??

maana page zao za kisanii wamebadilisha uwanja wa kujieleza kisiasa hahaha
Mkuu post ya daimond kuhusu ccm ni tofauti na ya kiba mkuu
 
Hahahaaa Nyeusi lazima muiite nyekundu mwaka huu. Byee.
Sawa basi tufanye ndo hvyo isiwe kesi ila ukweli unajulikana hajawahi piga show ya siasa na kwa nn kachelewa kupost ccm kabla ya wasanii wenzake wote tafakari chukua hatu kiba4life anajielewa
 
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.

Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!

Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.

Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.

Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.

Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.

Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.
Alikiba alikuwa anatuzuga tu bt mwisho wake tukajua nae ndo walewale
 
Back
Top Bottom