GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Nmejaribu sana kuangalia baadhi ya series za mataifa mengine nmejikuta nashindwa kabisa hasa za:
1. Spain
2. Mexico
3. Philippines
4. Turkey
5. Korea
6. China
Hawa jamaa bado wana series za kitoto kitoto sana. Uhalisia unapotea kabisa. Ukichanganya na lugha ndo nakwazika kabisa kukaa niangalie motions na pia subs. Huwa nachoka.
Mexico na Spain huwa wana storie nzuri ila zinawashinda kuigiza. Kama Money Heist ilipasWa iiishie season 2 hasa hasa. Wakaivuta kipuuzi iwe ndefu na hali bado haikuwa that much serious. Idea ile wangepata watu wenye akili na serious wangetoa kitu kikali.
Nmejikuta nafurahia series kama
1. Breaking Bad
2. Better Call Saul
3. Ozark
4. Gangs of London
5. Rome
6. Carnivale
Etc. Pia nikiwa nmeangalia nyingi za wa Norway, Belgium, Canada. Hawa wanajitahidi. Ukiacha za USA na UK. Ambako pia huwa nikikuta zenye utoto utoto mwingi naachana nazo.
The 100 ilikuwa nzuri mwanzoni mpaka walipokuja iharibu seasons za hivi karibuni hasa season 7.
Binafsi sipendi niangalie Series uongo uwe wazi mpaka nianze kuona kuwa mtengenezaji aliniona mimi mtizamaji fala sana. Ni kunikosea heshima. Uongo unafaa kufanana na ukweli kabisa katika movies.
Ukitaka nisikae home kwako.rahisi sana.niwekee series/movie ya Nigeria,Ghana, Tanzania, South Africa,kihindi etc. Hizi huwa na upumbavu flani hivi wa kudhani watizamaji wote ni watoto wadogo.
1. Spain
2. Mexico
3. Philippines
4. Turkey
5. Korea
6. China
Hawa jamaa bado wana series za kitoto kitoto sana. Uhalisia unapotea kabisa. Ukichanganya na lugha ndo nakwazika kabisa kukaa niangalie motions na pia subs. Huwa nachoka.
Mexico na Spain huwa wana storie nzuri ila zinawashinda kuigiza. Kama Money Heist ilipasWa iiishie season 2 hasa hasa. Wakaivuta kipuuzi iwe ndefu na hali bado haikuwa that much serious. Idea ile wangepata watu wenye akili na serious wangetoa kitu kikali.
Nmejikuta nafurahia series kama
1. Breaking Bad
2. Better Call Saul
3. Ozark
4. Gangs of London
5. Rome
6. Carnivale
Etc. Pia nikiwa nmeangalia nyingi za wa Norway, Belgium, Canada. Hawa wanajitahidi. Ukiacha za USA na UK. Ambako pia huwa nikikuta zenye utoto utoto mwingi naachana nazo.
The 100 ilikuwa nzuri mwanzoni mpaka walipokuja iharibu seasons za hivi karibuni hasa season 7.
Binafsi sipendi niangalie Series uongo uwe wazi mpaka nianze kuona kuwa mtengenezaji aliniona mimi mtizamaji fala sana. Ni kunikosea heshima. Uongo unafaa kufanana na ukweli kabisa katika movies.
Ukitaka nisikae home kwako.rahisi sana.niwekee series/movie ya Nigeria,Ghana, Tanzania, South Africa,kihindi etc. Hizi huwa na upumbavu flani hivi wa kudhani watizamaji wote ni watoto wadogo.