Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Nmejaribu sana kuangalia baadhi ya series za mataifa mengine nmejikuta nashindwa kabisa hasa za:

1. Spain
2. Mexico
3. Philippines
4. Turkey
5. Korea
6. China

Hawa jamaa bado wana series za kitoto kitoto sana. Uhalisia unapotea kabisa. Ukichanganya na lugha ndo nakwazika kabisa kukaa niangalie motions na pia subs. Huwa nachoka.

Mexico na Spain huwa wana storie nzuri ila zinawashinda kuigiza. Kama Money Heist ilipasWa iiishie season 2 hasa hasa. Wakaivuta kipuuzi iwe ndefu na hali bado haikuwa that much serious. Idea ile wangepata watu wenye akili na serious wangetoa kitu kikali.

Nmejikuta nafurahia series kama
1. Breaking Bad
2. Better Call Saul
3. Ozark
4. Gangs of London
5. Rome
6. Carnivale

Etc. Pia nikiwa nmeangalia nyingi za wa Norway, Belgium, Canada. Hawa wanajitahidi. Ukiacha za USA na UK. Ambako pia huwa nikikuta zenye utoto utoto mwingi naachana nazo.

The 100 ilikuwa nzuri mwanzoni mpaka walipokuja iharibu seasons za hivi karibuni hasa season 7.


Binafsi sipendi niangalie Series uongo uwe wazi mpaka nianze kuona kuwa mtengenezaji aliniona mimi mtizamaji fala sana. Ni kunikosea heshima. Uongo unafaa kufanana na ukweli kabisa katika movies.

Ukitaka nisikae home kwako.rahisi sana.niwekee series/movie ya Nigeria,Ghana, Tanzania, South Africa,kihindi etc. Hizi huwa na upumbavu flani hivi wa kudhani watizamaji wote ni watoto wadogo.
 
Wahindi kuweni seriuos mmefikia hatua sasa mmeanza kutudharau.

Sawa tunajua ni maigizo na sio lazima yaendane na uhalisia, lakini ndo umchome mwenzio na ndizi mpaka damu zitoke hadi kufa?

Hizo risasi zinavyokwepwa sasa aaah!

 
Money heist ilikua ishaisha ila baada ya Netflix kuinunua na watu wakaipenda Basi Management ya Netflix iliweka mkwanja mezani kitu kiendelee. Hivyo creator Alex pina akaendeleza stori...Ndio maana series imekosa mwendelezo wenye maana maana wapo after monye.

These two are masterpiece though I prefer BCS than BB since I like legal stuffs[emoji6][emoji6]

Will cath them when I've time

Nimeangalia episode moja tu nikaifuta...Ngoja nitairudia nione.

Breaking Bad,Game of thrones na Better call saul ni series ambazo ukizitizama kuna uhalisia wa hali ya juu. Unaweza kujiona nawe ni mmoja wa waigizaji

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna muvi kali za kihindi mkuu mfano kuna moja inaitwa War ya Rhitik Roshan, ni nzuri sana wametumia akili kubwa kucheza haina ile unapigwa kofi unadunda ardhini.

Wakati mzee baba anafariki nilikua naangalia series 5 kwa wakati mmoja.
-Dark
-Blacklist
-Jessica Jones
-WandaVision
-House of Card.

Kwa sasa natazama..
-Banshee S1
-Invincible
-Viking S4
-Fauda S1
-Narcos S1 (Pablo)
-Daredevil
Bashee ni bonge la series
 
napenda historical series,mnaweza recommend zozote ili niangalie?
 
Money heist ilikua ishaisha ila baada ya Netflix kuinunua na watu wakaipenda Basi Management ya Netflix iliweka mkwanja mezani kitu kiendelee. Hivyo creator Alex pina akaendeleza stori...Ndio maana series imekosa mwendelezo wenye maana maana wapo after monye.

These two are masterpiece though I prefer BCS than BB since I like legal stuffs😉😉

Will cath them when I've time

Nimeangalia episode moja tu nikaifuta...Ngoja nitairudia nione.

Breaking Bad,Game of thrones na Better call saul ni series ambazo ukizitizama kuna uhalisia wa hali ya juu. Unaweza kujiona nawe ni mmoja wa waigizaji

🤣🤣🤣
Kuna muvi kali za kihindi mkuu mfano kuna moja inaitwa War ya Rhitik Roshan, ni nzuri sana wametumia akili kubwa kucheza haina ile unapigwa kofi unadunda ardhini.

Wakati mzee baba anafariki nilikua naangalia series 5 kwa wakati mmoja.
-Dark
-Blacklist
-Jessica Jones
-WandaVision
-House of Card.

Kwa sasa natazama..
-Banshee S1
-Invincible
-Viking S4
-Fauda S1
-Narcos S1 (Pablo)
-Daredevil
Hizi kwangu ni nzuri.

House of cards
Banshee
Vikings
Narcos
Fauda

Blacklist nayo nliona inaakosa uhalisia sana. Nikaachana nayo.
 
Money heist ilikua ishaisha ila baada ya Netflix kuinunua na watu wakaipenda Basi Management ya Netflix iliweka mkwanja mezani kitu kiendelee. Hivyo creator Alex pina akaendeleza stori...Ndio maana series imekosa mwendelezo wenye maana maana wapo after monye.

These two are masterpiece though I prefer BCS than BB since I like legal stuffs😉😉

Will cath them when I've time

Nimeangalia episode moja tu nikaifuta...Ngoja nitairudia nione.

Breaking Bad,Game of thrones na Better call saul ni series ambazo ukizitizama kuna uhalisia wa hali ya juu. Unaweza kujiona nawe ni mmoja wa waigizaji

🤣🤣🤣
Kuna muvi kali za kihindi mkuu mfano kuna moja inaitwa War ya Rhitik Roshan, ni nzuri sana wametumia akili kubwa kucheza haina ile unapigwa kofi unadunda ardhini.

Wakati mzee baba anafariki nilikua naangalia series 5 kwa wakati mmoja.
-Dark
-Blacklist
-Jessica Jones
-WandaVision
-House of Card.

Kwa sasa natazama..
-Banshee S1
-Invincible
-Viking S4
-Fauda S1
-Narcos S1 (Pablo)
-Daredevil
Money Heist nliishiw ya Pili nikajaribu ya 3 nikaona upuuzina ya 4 nayo nikaona upuuzi hamna story ya maana. Ya kwwnza na ya pili nliangalia kwa kujilazimisha coz kuna kipindi wana bore. Hawana matukio ya maana...
 
Hao jamaa movie nazoona mzuri ni venom na black panther tuu lakini yale maupuuzi ya captain America na nyinginezo ni utoto tuu

Sio kweli, Kwahyo unataka uniambie Ile Avengers Endgame iliyovunja Box office ni watoto wote walienda kuangalia wakajaza theatres?. Hayo ni mawazo yako binafsi na sio Facts Nakuomba Kaangalie Captain America Winter Soldier Haaf utasema kama umebaki na mwazo hayo hayo kuwa utoto
 
Sio kweli, Kwahyo unataka uniambie Ile Avengers Endgame iliyovunja Box office ni watoto wote walienda kuangalia wakajaza theatres?. Hayo ni mawazo yako binafsi na sio Facts Nakuomba Kaangalie Captain America Winter Soldier Haaf utasema kama umebaki na mwazo hayo hayo kuwa utoto
Sasa hy avengers sio utoto tuu, avengers ndo movie ya kisenge-rema afadhali hata captain America
 
Back
Top Bottom