Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

Sio kweli, Kwahyo unataka uniambie Ile Avengers Endgame iliyovunja Box office ni watoto wote walienda kuangalia wakajaza theatres?. Hayo ni mawazo yako binafsi na sio Facts Nakuomba Kaangalie Captain America Winter Soldier Haaf utasema kama umebaki na mwazo hayo hayo kuwa utoto
Mitizamo inatofautiana wapo wanaozipenda hata watu wazima. Zamani alikuwepo mwimbaji mmoja anaimba nyimbo za kitoto za kipuuzi. Mr. Nice. Walikuwepo mashabiki wake wengi na aliuza sana.but mimi ilikuwa siwezi sikikiz nyimbo zake hata unipe na pesa.
 
Mitizamo inatofautiana wapo wanaozipenda hata watu wazima. Zamani alikuwepo mwimbaji mmoja anaimba nyimbo za kitoto za kipuuzi. Mr. Nice. Walikuwepo mashabiki wake wengi na aliuza sana.but mimi ilikuwa siwezi sikikiz nyimbo zake hata unipe na pesa.

Hahaha huo mfano: kuku kapanda baiskeli bata....
 
Super human ambayo nliweza kuangalia ni GOTHAM peke yake. Hizi nyingine zinanishinda kabisa. Huwa naona zinafaa sana watoto.
GOTHAM kuna jamaa anaitwa Penguin anafurahisha mno mtu wa fursa [emoji2][emoji2]
 
Movie za Marvel sijawahi kuzielewa.
Kama za marvel huzielewi za DC ndo huwezi kuzielewa kabisa, coz wapo parallel japo DC ni waongo sana, huko utakutana na kina Superman na mwenzake Batman na akina the Flash.. etc😀 niwaongo sana
 
Kama za marvel huzielewi za DC ndo huwezi kuzielewa kabisa, coz wapo parallel japo DC ni waongo sana, huko utakutana na kina Superman na mwenzake Batman na akina the Flash.. etc[emoji3] niwaongo sana

At least Batman yuko fresh
 
Nmejaribu sana kuangalia baadhi ya series za mataifa mengine nmejikuta nashindwa kabisa hasa za:

1. Spain
2. Mexico
3. Philippines
4. Turkey
5. Korea
6. China

Hawa jamaa bado wana series za kitoto kitoto sana. Uhalisia unapotea kabisa. Ukichanganya na lugha ndo nakwazika kabisa kukaa niangalie motions na pia subs. Huwa nachoka.

Mexico na Spain huwa wana storie nzuri ila zinawashinda kuigiza. Kama Money Heist ilipasWa iiishie season 2 hasa hasa. Wakaivuta kipuuzi iwe ndefu na hali bado haikuwa that much serious. Idea ile wangepata watu wenye akili na serious wangetoa kitu kikali.

Nmejikuta nafurahia series kama
1. Breaking Bad
2. Better Call Saul
3. Ozark
4. Gangs of London
5. Rome
6. Carnivale

Etc. Pia nikiwa nmeangalia nyingi za wa Norway, Belgium, Canada. Hawa wanajitahidi. Ukiacha za USA na UK. Ambako pia huwa nikikuta zenye utoto utoto mwingi naachana nazo.

The 100 ilikuwa nzuri mwanzoni mpaka walipokuja iharibu seasons za hivi karibuni hasa season 7.


Binafsi sipendi niangalie Series uongo uwe wazi mpaka nianze kuona kuwa mtengenezaji aliniona mimi mtizamaji fala sana. Ni kunikosea heshima. Uongo unafaa kufanana na ukweli kabisa katika movies.

Ukitaka nisikae home kwako.rahisi sana.niwekee series/movie ya Nigeria,Ghana, Tanzania, South Africa,kihindi etc. Hizi huwa na upumbavu flani hivi wa kudhani watizamaji wote ni watoto wadogo.



kama umeangalia Gangster of london basi kawaangalie na Peaky Blinders a.k.a wahun wa enz hizo za naintiini kweusi

maudhui yake ni maisha ya street gangs ya miaka ya late 1800's hadi 1910
 
Kama unapenda series za maana za watu wazima..
1.homeland
2.berlin
3.the americans
Prison break
Jumong
Hizo zenu zote ni za kitoto kwa uwezo wao wa akili labda tena kwa kuwapendelea walau kidogo zingefikia za t bag wa pb. Michael Scofield mwisho wa matatizo. Series kali siku zote haina mpinzani. Au nasema uongo ndugu zanguni......
 
kama umeangalia Gangster of london basi kawaangalie na Peaky Blinders a.k.a wahun wa enz hizo za naintiini kweusi

maudhui yake ni maisha ya street gangs ya miaka ya late 1800's hadi 1910
PB nlianza iangalia toka imeanza mpaka sasa.
 
PB nlianza iangalia toka imeanza mpaka sasa.
Gangs of london sijui kama namba 3 imetoka tyr? naisubir kwa hamu sana japo muafrica hawakumtendea haki alikufa kifo chepesi sana
 
Wahindi kuweni seriuos mmefikia hatua sasa mmeanza kutudharau.

Sawa tunajua ni maigizo na sio lazima yaendane na uhalisia, lakini ndo umchome mwenzio na ndizi mpaka damu zitoke hadi kufa?

Hizo risasi zinavyokwepwa sasa aaah!

View attachment 1795701
Hahahah. Kweli wanatuona kuwa hatujui
 
Wahindi kuweni seriuos mmefikia hatua sasa mmeanza kutudharau.

Sawa tunajua ni maigizo na sio lazima yaendane na uhalisia, lakini ndo umchome mwenzio na ndizi mpaka damu zitoke hadi kufa?

Hizo risasi zinavyokwepwa sasa aaah!

View attachment 1795701
Hahahah. Kweli wanatuona kuwa hatujui
 
Back
Top Bottom