Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,967
- 2,147
Umepata ndugu yako mkuu ila unasemaje kuhusu huu uzi mkuu
Ni kweli Jina langu la Kikarara78 lina uhusiano na Kijiji cha Kikarara, Old Moshi, Hapo ndio nyumbani, Kumbe Kamanda aka Mkuu SUMU wewe ni Jirani aka Ndugu yangu.
Kwenye issue ya madawati na madarasa ni kama sio 1999 bali kama 1985, kama wewe ni wa Kilimanjaro una haki ya kuamini kwamba kuna improvement katika sekta ya elimu hasa issue ya madawati kutokana na eneo ulilotoka. Kuna maeneo mkuu madawati wanakalia walimu tu na wanafunzi wachache na yapo mengi tu