Wamesahau wao walikula ngapiJana kuna Kolo moja lilikua linalalamika kwanini Yanga wanaishia bao 5 ili liseme police ni wabovu
Ungeanza na simba juu mbona umeiweka katiMINARA IMESIMA
Yanga 5_1 Asas
Yanga 5_0 JKT
Yanga 5_0 KMC
Yanga 5_1 Simba
Yanga 5_0 Jamhuri
Yanga 5_1 Housing
Yanga 5_0 Police tz
.
ndiyo vibonde walio kutana na yanga kichwa kichwa
Nackia makolo watakula Tena[emoji113][emoji113]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mnadidimiza soka la kiushindani jamani..Round ya pili kuna mmoja kidomodomo tutampiga wiki,kwa haya majini tuliyoongeza mbona watakoma.
Mimi nimeshawachoka kwakweli...kwa sasa nitakuwa naawaangalia tuu na limbukeni mwenzako..mimi ni mbishi ila hapa nimeamua kuwaacha na ulimbukeni wenu msije niambukiza buree..nikawa napost zile 5 kwa 0 na 6 kwa 0....Basi Kalpana anasonya tuu huko aliko.
Nimesema mmenichosha jamani nawaachia ulimbukeni wenu...siwezi tena kubishana na nyinyi...kama akili zenu bado zina load 5 kwa 1 na mm ina load 5 kwa 0 na 6 kwa 0 hatutafikia muafaka..
Tatizo sio 5 tu ni tano tano za muendelezoMimi nimeshawachoka kwakweli...kwa sasa nitakuwa naawaangalia tuu na limbukeni mwenzako..mimi ni mbishi ila hapa nimeamua kuwaacha na ulimbukeni wenu msije niambukiza buree..nikawa napost zile 5 kwa 0 na 6 kwa 0....
Haya baba...Tatizo sio 5 tu ni tano tano za muendelezo
Job True TrueKazi kwelikweli