Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huu uzi ndiyo umesababisha baadhi ya watu kuanza kuweweseka hovyo! 😁MINARA IMESIMA
Yanga 5_1 Asas
Yanga 5_0 JKT
Yanga 5_0 KMC
Yanga 5_1 Simba
Yanga 5_0 Jamhuri
Yanga 5_1 Housing
Yanga 5_0 Police tz
.
ndiyo vibonde walio kutana na yanga kichwa kichwa
Nackia makolo watakula Tena[emoji113][emoji113]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
hakuna namna mkuuBasi Kalpana anasonya tuu huko aliko.
Atapigwa kama ngomaRound ya pili kuna mmoja kidomodomo tutampiga wiki,kwa haya majini tuliyoongeza mbona watakoma.
Tuwape heshima kidgUngeanza na simba juu mbona umeiweka kati
Limepita Hilo mkuuKuanzia leo Yanga imebadili jina inaitwa TANO TANO
Sajilini quality playersMnadidimiza soka la kiushindani jamani..
Kabisa mkuuHizo zote ni team ndogo kwa yanga
Team za mtaani hizo na simba akiwemo
Watusamehe tuKumbe huu uzi ndiyo umesababisha baadhi ya watu kuanza kuweweseka hovyo! [emoji16]
Baadae IHEFU nae alikula 5MINARA IMESIMA
Yanga 5_1 Asas
Yanga 5_0 JKT
Yanga 5_0 KMC
Yanga 5_1 Simba
Yanga 5_0 Jamhuri
Yanga 5_1 Housing
Yanga 5_0 Police tz
.
ndiyo vibonde walio kutana na yanga kichwa kichwa
Nackia makolo watakula Tena[emoji113][emoji113]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app