Koo unadhani wamekoseaSasa Al ahly na cr belguizdad wamepewa asilimia 95 na 90 na wapo kundi moja na utopolo hapo kimahesabu huoni utopolo Wana asilimia 5 za kutwaa ubingwa.
Kwanini mkuuMedeama Iko wapi?Hizo takwimu feki
[emoji23][emoji23] past performance imezingatiwa piayaani sisi fc atletico de makolo ndo wakupewa asilimaile 17!!!
dunia yaenda kasi mno
Tuendelee kuwaelimisha mkuuKuna Mbumbumbu Watapinga
Mimi ni mchambuzi mahiri wa soka..mkuuItoshe kusema Labani og mambo ya mpira yamekupita kushoto
Kinyume chakeKesho saa tatu usiku lawama zitakua zinashushwa kwa mwamnyeto,gudegude na yawho yawho kwa kuchomesha
Past performance mkuuDaah makolo chama langu tumewakosea nini watu wa takwimu.
Hivi sisi ni wa kupewa asilimia 17 kweli!
Hapana mkuu...Sasa Yanga Wana pcome......Guede .... Dr aucho.... Aziz ki...sasa kwanini wasiaminiwe na CAFYani ww huwa una kimuhe muhe sana...acha kukurupuka...
Any way yote yanawezekana ikiwa majini yatatumika
Ndo hivyo mkuu.... hatuwezi Pinga takwimu za wakubwaUtopowox katika ubora wao...yani asilimia 85 walai....jiti...yani A.....yelewiiii
Bila shaka umesoma shule za kudumu na mfagio mkuuNilivyofundishwa na walimu wangu wa Hisabati, ilibidi hizo asilimia za timu zote zinazoweza kuchukua ubingwa, ukizijumlisha zote hazikutakiwa kuzidi 100
Sio wabongo, sema Makolo
Gwede au sio..Hapana mkuu...Sasa Yanga Wana pcome......Guede .... Dr aucho.... Aziz ki...sasa kwanini wasiaminiwe na CAF
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Daaah kweli nmemokeseaSio wabongo, sema Makolo
Hicho sio kigezo mkuuYanga hii ambayo mpaka sasa haijamfunga Al ahly wala Belouizdad ndo mnaipa ushindi wa Cafcl ?
Takwimu hizi hazijatolewa bongoYani utopolo wanajifariji sana