Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo tafiti imefanyika wapi boss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Timu inayopewa nafasi ya kufika hatua ya fainali inapimwa kwa winning prediction kwenye mechi muhimu.
Sasa angalia kati ya hizo timu ni zipi zinazopewa asilimia nyingi za kupata ushindi kwenye mechi za wiki hii.
Kumbuka mechi za wiki hii ndio zinazoweza kuamua hatima ya timu kuendelea na mashindano au kuaga.
Kwa mujibu wa forebet mechi ya Yanga vs Cr Belouzidad prediction
View attachment 2913047
Hata wale wanenu wa takwimu za milion 35 wameshindwa kuwadhamini.
View attachment 2913050
Kwa matokeo hayo maana yake Yanga sio tu kuwa haiwezi kufikiriwa kuchukua ubingwa bali hata kuvuka hatua ya makundi ni mtihani.
Nchi Ina hasara kubwa kuwa na vijana type yakoNgoja nitaje first eleven ya yanga itayochukua ubingwa wa cafcl.
Makata,subiani,maimuna,kibwengo,chumaulete,insyuka,shetani,baphomet,dakunda,kinyamkela,zinduna
Nadhani umeona sababu ya Simba kupewa 15 %Ni mlevi wa kisungura huyu
Jitahidini na nyie muwe Bora mnyama alishapita huko
Alipita wapiJitahidini na nyie muwe Bora mnyama alishapita huko
Timu kubwa kwenye kulogaKwa ubora aliokuwa nayo simba haijawahi kuvuka nusu fainali sio shirikisho wala klabu bingwa halafu ndio unajiita timu kubwa
Naona unajitahidi kutaka kumfunika ndugu yako OkwiBobanSunzu!!Timu inayopewa nafasi ya kufika hatua ya fainali inapimwa kwa winning prediction kwenye mechi muhimu.
Sasa angalia kati ya hizo timu ni zipi zinazopewa asilimia nyingi za kupata ushindi kwenye mechi za wiki hii.
Kumbuka mechi za wiki hii ndio zinazoweza kuamua hatima ya timu kuendelea na mashindano au kuaga.
Kwa mujibu wa forebet mechi ya Yanga vs Cr Belouzidad prediction
View attachment 2913047
Hata wale wanenu wa takwimu za milion 35 wameshindwa kuwadhamini.
View attachment 2913050
Kwa matokeo hayo maana yake Yanga sio tu kuwa haiwezi kufikiriwa kuchukua ubingwa bali hata kuvuka hatua ya makundi ni mtihani.
HahaaaaaYanga labda watume vijini vikaliibe
Sasa kama timu nzima inamtegemea mchezaji mmoja tu, tena ni kiungo konokono anayeitwa Clotus Chama! Ndiyo utegemee maajabu!!Daah makolo chama langu tumewakosea nini watu wa takwimu.
Hivi sisi ni wa kupewa asilimia 17 kweli!