Mimi majina ya perfume huwa sihangaiki nayo. Maadamu nalijua duka la kununulia na kampuni yangu pendwa naingia kwenye duka langu pendwa.Imagine kwenye top ten yako sijui hata moja, yaani achilia mbali kutumia, hata jina sijui🤣🤣🤣
Wapo na Mlimani City pia...Nenda kwenye duka la Albait Aldimashqi Perfume ni za kutoka UAE. GSM mall unazipata hizo mzee. Zinanukia vizuri. Ndizo perfume ninazotumia.
Bei zake ni kwa madaraja yote ya vipato. Kuanzia kipato cha chini, cha kati mpaka cha juu.
Kipato cha chini ni kuanzia 30k mpaka 40k mpaka 50k na 60k mpaka 70k zipo. Kuna kipindi nilipita kwa haraka haraka Mlimani City kama nililiona duka lake ila sina uhakika sana.
Wana perfumes za aina tofauti tofauti hivyo itabaki kuwa ni uchaguzi wako. Kama unajihisi unaweza ukatatazika na perfume ipi kwako itakuwa nzuri zaidi, nenda na mwanamke wako atakusaidia na hatokuangusha.
Hahahah!Jamaa wanachezea hela kipumbavu
Nashukuru sana. Nitapita tena vizuri pale niliangalie angalau nijichukulie uturi safi wa maana.Wapo na Mlimani City pia...
Ajabu ile perfume yao iliyokuwa 35k sasa hivi ni 40k[emoji57]
Duh kwahiyo unataka kuniambia nitafute helaa!Hahahah!
Ndugu yangu, ukiwa na hela hata kwa mwezi ukiwa unapata millioni 7 au iwe hata ya mshahara kuna manunuzi ukiyafanya unaona ya kawaida sana.
Naweza kusema natoa 2.5 million kwenye mambo yangu mengineyo! Na 4.5 nabaki nayo!
Kwa siku ukiamua kufanya manunuzi ya million ni kitu cha kawaida.
Mimi na mke wangu tukienda kufanya manunuzi ya kununua vitu huwa tunaenda mpaka 1.9million.
Lakini hayo yanakuwa ni makorokoro. Mara nyingi huwa tunaenda mwezi 11 Mlimani City vitu huwa vimeshuka bei 😂😂😂😂.
Tutachukua mazulia ya kituruki ni mazuri. Yaani nikikaa yale najiona kama mimi Ottoman Bay. Kuna washing machine huwa zinashuka bei na za kisasa.
Kuna vitu vingi utavipata kwa wakti mmoja. Vitu bora kwa bei nafuu! Nimekupatia siri hiyo!
Eti Kenge aliekaangw a waja mna maneno[emoji23][emoji23]All in all.. perfume inategemea na ww mwili wako unatoa jasho la aina gani.. mie naweza kupulizia kitu ikanikataa ila mwingine ikaw imempenda ina match na aura yake..
Sasa kuna wimbi la KUFATA MKUMBO.. mtu akiskia Sauvage inanukia vzr bas kesho na yeye kanunua.. anakuja kunukia kama kenge aliyekaangwa.
Tupambane tu mkuu tutafika.Duh kwahiyo unataka kuniambia nitafute helaa!
ni mapendeleoSasa saa ni kitu kingine!
Hello, nisaidie kunitumia jina PM au hata hapa. Nitaipitia kesho, inshallahWapo na Mlimani City pia...
Ajabu ile perfume yao iliyokuwa 35k sasa hivi ni 40k[emoji57]
Wanaitwa Albait Perfumes..Hello, nisaidie kunitumia jina PM au hata hapa. Nitaipitia kesho, inshallah
Tester ndo zipi tena?
Naunga mkono hoja 🤣😁Yaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee huko ni kukufuru? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
Ni dawa za kurudishamarindaTester ndo zipi tena?
[emoji16][emoji16][emoji16]Mwaka jana niliingia kwenye duka la S.H Amon lipo mlimani city eti najitutumua namimi kuulizia bei za perfume mfukoni sina hata mia[emoji23][emoji23], aliingia mzee mmoja na kibinti cha 2000 aisee alimnunulia perfume ya " Greed aventus" alilipa 1m cash kwa card wakasepa namimi nikatafuta mlango wa kutokea nikasepa. All in all umasikini ni m'baya sana.
Mimi natumia Nivea deodorant bei chee kabisa ila saivi mademu wanasema nanukia kinyama..sasa sijui hawa mademu ni wa kienyeji au vipi??Yaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee huko ni kukufuru? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
Unatumia Nivea ipi?.Mimi natumia Nivea deodorant bei chee kabisa ila saivi mademu wanasema nanukia kinyama..sasa sijui hawa mademu ni wa kienyeji au vipi??
Nikihamia Dior Sauvage si ndo nitawauwa kabisa..
Ulimbukeni ni mzigo sana yaaniTafuteni hela PERFUME Hazipimwi