Hizi Online courses zipoje?

Hizi Online courses zipoje?

Kwaaliye wai soma online couse alison, nini faida yake kwahapa Tanzania juu ya upatikanaji wa kazi au kuaminiwa na waajiri tafadhali link hii https://alison.com
 
Kuna kozi nilisima humo, ni recorded lectures na pia notes kwa kila module. Mwishoni ndio kulikuwa na assignment na ili kufaulu ilihitaji kupata 80%. Vyeti ndio wanauza vikiwa framed na pia as PDF
 
Kuna kozi nilisima humo, ni recorded lectures na pia notes kwa kila module. Mwishoni ndio kulikuwa na assignment na ili kufaulu ilihitaji kupata 80%. Vyeti ndio wanauza vikiwa framed na pia as PDF
Na vipi kuhusu nchi yetu ina weza kuzitambua kweli au ni kwaajiri ya Faida ya mtu
 
N
Faida yako zaidi sector binafsi...
Ikipata labda certificate ya pharmacy technician kutoka alison ,je naweza kuajiriwa nchini au kujiajiri sector binafsi bila kubughudhiwa na mamlaka za afya!?
 
Back
Top Bottom