Hizi pesa za chaguzi kwa matumizi haya huwa zinatoka wapi?

Hizi pesa za chaguzi kwa matumizi haya huwa zinatoka wapi?

Sambinyakwe kitololo

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2022
Posts
2,419
Reaction score
2,940
Habari za muda huu watu

Nauliza hivi hizi hela za chaguzi huwa zinatoka wapi je Kuna wadhamini au? Mana ukiangalia pesa zinavotumika hupati majibu.

Nakumbuka miaka kadhaa nikiwa chuo zile chaguzi za serikali ya chuo sijui rais wa chuo form ilikuwa Kati ya 100k to 200k nadhani alafu mtu anaanza fanya kampeni baada ya jina lake kupitishwa na ili aweze fanya kampeni huku akisindikizwa na watu wengi lazma awe anatoa kakitu kidogo.

Mfano miaka hio bado alcohol za viroba zipo

Unakuta baada ya kupita hostel kadhaa Basi box za viroba zinafunguliwa mnapewa ili mpate nguvu ya kuimba na mgombea wenu vizuri, huko huko hawakosekani watoto wa panya wanafata viroba, bia, mirung**, ila kura hawapigi.

Na chaguzi hapa nchini huwa naona chama hichi chenye nanilii huwa wanatumia pesa Sana unakuta Ni diwani tu ila hizo pesa dhuu Hadi unauliza inamaana hizi zimetoka makao makuu huko , mfano Kuna thread niliona inasema kwamba chama kile kilienda omba kukopeshwa fedhanza chaguzi Sasa najiuliza hizo pesa Ni nchi nzima chama hiko kitapewa au wanataka kwa ajili ya mgombea wao wa uraisi tu ? Je zile hongo wabunge, madiwani wanatoa Ni pesa zao mfukoni au inakuaje hapo?

Kuna mmoja aliweka sufuria kubwa kumi za pilau.

Na gari ndogo za kutoa soda depot kusambaza mtaani likapaki hapo usiondoke tu na chupa.

Nilifikiria hio pesa Basi najua wanavuna zaidi ya hapo wakipata nafasi.
 
Kila kitu unachokiona duniani kuna watu wapo nyuma wameshika remoti ndio wanaendesha kila kitu.

Usipoweza kuyajuwa mambo Mdogo kama haya basi hata kwenye maisha utakuwa msindikizaji tu.

Watu wanaoitwa machawa usidhani hawana akili au hawajitambui, wengi wana akili za juu kuliko sponsors wao.

Huwezi kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania kama hauna sponsor nyuma yako unless uwe wewe mwenyewe unajimudu kiuchumi.

Chawa wa Magufuli wote Sasa hivi wamesalimu Amri na kujiunga na mama, na wale wakaidi kama Bashiru na Polepole mwisho wao ni 2025 au kabla ya muda huo ni lazima wasurubiwe.

Chama kinapokusanya pesa za kampeni ni kwa ajili ya mgombea Urais tu, wanajuwa vyema kama huna pesa huwezi kugombea udiwani wala ubunge, chama kinakusaidia kwenye mbinu za kuiba kura tu kama alivyoiba kura Magufuli wagombea wote wa Ccm kila Kata walikuwa na kura 3000 Kata zote Tanzania.

Wagombea wa Ccm walioshindwa uchaguzi yalikuwa ni maamuzi ya chama chenyewe kwa sababu zao, wizi aliofanya Magufuli huwezi kuishinda Ccm hata ufanyaje, huwezi kushinda na mgombea ana kura 3000 kila Kata halafu ndio muanze kushindana na kura halali za kupigiwa na wananchi.
 
Kura
Kila kitu unachokiona duniani kuna watu wapo nyuma wameshika remoti ndio wanaendesha kila kitu.

Usipoweza kuyajuwa mambo Mdogo kama haya basi hata kwenye maisha utakuwa msindikizaji tu.

Watu wanaoitwa machawa usidhani hawana akili au hawajitambui, wengi wana akili za juu kuliko sponsors wao.

Huwezi kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania kama hauna sponsor nyuma yako unless use wewe mwenyewe unajimudu kiuchumi.

Chawa wa Magufuli wote Sasa hivi wamesalimu Amri na kujiunga na mama, na wale wakaidi kama Bashiru na Polepole mwisho wao ni 2025/au kabla ya muda huo ni lazima wasurubiwe.

Chama kinapokusanya pesa za kampeni ni kwa akili ya mgombea Urais tu, wanajuwa vyema kama huna pesa huwezi kugombea udiwani wala ubunge, chama kinakusaidia kwenye mbinu za kuiba kura tu kama alivyoiba kura Magufuli wagombea wote wa Ccm kila Kata walikuwa na kura 3000 Kata zote Tanzania.

Wagombea wa Ccm walioshindwa uchaguzi yalikuwa ni maamuzi ya chama chenyewe kwa sababu zao, wizi aliofanya Magufuli huwezi kushinda Ccm hata ufanyaje, huwezi kushinda na na mgombea ana kura 3000 kila Kata halafu ndio muanze kushinda na kura halali za kupigiwa na wananchi.
Kura aftatu? Kumbe hii aftatu Ni ya muda mrefu sana
 
Habari za muda huu watu

Nauliza hivi hizi hela za chaguzi huwa zinatoka wapi je Kuna wadhamini au? Mana ukiangalia pesa zinavotumika hupati majibu.

Nakumbuka miaka kadhaa nikiwa chuo zile chaguzi za serikali ya chuo sijui rais wa chuo form ilikuwa Kati ya 100k to 200k nadhani alafu mtu anaanza fanya kampeni baada ya jina lake kupitishwa na ili aweze fanya kampeni huku akisindikizwa na watu wengi lazma awe anatoa kakitu kidogo.

Mfano miaka hio bado alcohol za viroba zipo

Unakuta baada ya kupita hostel kadhaa Basi box za viroba zinafunguliwa mnapewa ili mpate nguvu ya kuimba na mgombea wenu vizuri, huko huko hawakosekani watoto wa panya wanafata viroba, bia, mirung**, ila kura hawapigi.

Na chaguzi hapa nchini huwa naona chama hichi chenye nanilii huwa wanatumia pesa Sana unakuta Ni diwani tu ila hizo pesa dhuu Hadi unauliza inamaana hizi zimetoka makao makuu huko , mfano Kuna thread niliona inasema kwamba chama kile kilienda omba kukopeshwa fedhanza chaguzi Sasa najiuliza hizo pesa Ni nchi nzima chama hiko kitapewa au wanataka kwa ajili ya mgombea wao wa uraisi tu ? Je zile hongo wabunge, madiwani wanatoa Ni pesa zao mfukoni au inakuaje hapo?

Kuna mmoja aliweka sufuria kubwa kumi za pilau.

Na gari ndogo za kutoa soda depot kusambaza mtaani likapaki hapo usiondoke tu na chupa.

Nilifikiria hio pesa Basi najua wanavuna zaidi ya hapo wakipata nafasi.
Dah mangi kijana wa Peter Malya. Mshua wako alikuwa akishindan na mimi kurusha vi cassena single engines. Nilimuonya asiniige kurusha ndege gizani huku amelewa hakunisikia. Matokeo yake si uliona.

Iga ufe
 
Habari za muda huu watu

Nauliza hivi hizi hela za chaguzi huwa zinatoka wapi je Kuna wadhamini au? Mana ukiangalia pesa zinavotumika hupati majibu.

Nakumbuka miaka kadhaa nikiwa chuo zile chaguzi za serikali ya chuo sijui rais wa chuo form ilikuwa Kati ya 100k to 200k nadhani alafu mtu anaanza fanya kampeni baada ya jina lake kupitishwa na ili aweze fanya kampeni huku akisindikizwa na watu wengi lazma awe anatoa kakitu kidogo.

Mfano miaka hio bado alcohol za viroba zipo

Unakuta baada ya kupita hostel kadhaa Basi box za viroba zinafunguliwa mnapewa ili mpate nguvu ya kuimba na mgombea wenu vizuri, huko huko hawakosekani watoto wa panya wanafata viroba, bia, mirung**, ila kura hawapigi.

Na chaguzi hapa nchini huwa naona chama hichi chenye nanilii huwa wanatumia pesa Sana unakuta Ni diwani tu ila hizo pesa dhuu Hadi unauliza inamaana hizi zimetoka makao makuu huko , mfano Kuna thread niliona inasema kwamba chama kile kilienda omba kukopeshwa fedhanza chaguzi Sasa najiuliza hizo pesa Ni nchi nzima chama hiko kitapewa au wanataka kwa ajili ya mgombea wao wa uraisi tu ? Je zile hongo wabunge, madiwani wanatoa Ni pesa zao mfukoni au inakuaje hapo?

Kuna mmoja aliweka sufuria kubwa kumi za pilau.

Na gari ndogo za kutoa soda depot kusambaza mtaani likapaki hapo usiondoke tu na chupa.

Nilifikiria hio pesa Basi najua wanavuna zaidi ya hapo wakipata nafasi.
Chuo nilichosoma mimi miaka hiyo,vyama vya siasa hasa CCM,CUF na CDM vilikuwa na wagombea wao na viliwafadhili pakubwa,huo mchezo mpaka keo nasikia upo,Zitto kabwe na Halima mdee walianza kufadhiliwa na CDM tangu wakiwa Udsm,Mtatiro Cuf,Waitara CCM
Huku juu ngazi ya chama kuna ma king maker wanatoa pesa zao na kukusanya toka kwa wadau na wafanyabiashara wakubwa
 
Chuo nilichosoma mimi miaka hiyo,vyama vya siasa hasa CCM,CUF na CDM vilikuwa na wagombea wao na viliwafadhili pakubwa,huo mchezo mpaka keo nasikia upo,Zitto kabwe na Halima mdee walianza kufadhiliwa na CDM tangu wakiwa Udsm,Mtatiro Cuf,Waitara CCM
Huku juu ngazi ya chama kuna ma king maker wanatoa pesa zao na kukusanya toka kwa wadau na wafanyabiashara wakubwa
Daa kumbe! Wanaona huyu kijana anafaa wanaanza ufadhili mapema sana
 
Back
Top Bottom