Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Umbea tu..hizo ni thamani..Hujui kwamba dhahabu ni hazina?
Picha ya lini na wapi?Hawa walikuwa ni maswahiba sana kabla ya uswahiba wao kuingiliwa na self interests!
Huwa najiuliza sana kwanini mara zote wawili hawa huvaa pete mbili za ndoa moja mkono wa kushoto kidole cha pete na mwingine hivyohivyo.
Kuna anayeweza kuzungumza lolote tuweze jua kazi ya hizo pete?View attachment 813950
Picha ya lini na wapi?
Hua nam"pungia" babako..acha matusi kwa babazako wadogo!Kama huna jibu we punga kaa kimya?