Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Hawa walikuwa ni maswahiba sana kabla ya uswahiba wao kuingiliwa na self interests!
Huwa najiuliza sana kwanini mara zote wawili hawa huvaa pete mbili za ndoa moja mkono wa kushoto kidole cha pete na mwingine hivyohivyo.
Kuna anayeweza kuzungumza lolote tuweze jua kazi ya hizo pete?
Huwa najiuliza sana kwanini mara zote wawili hawa huvaa pete mbili za ndoa moja mkono wa kushoto kidole cha pete na mwingine hivyohivyo.
Kuna anayeweza kuzungumza lolote tuweze jua kazi ya hizo pete?