Hizi picha miaka 60 baada ya uhuru, ni kielelezo tulikosea kutaka kujitawala na tulitakiwa tuendelee kutawaliwa

Hizi picha miaka 60 baada ya uhuru, ni kielelezo tulikosea kutaka kujitawala na tulitakiwa tuendelee kutawaliwa

Ni tamaa ya wachache , akina Nyerere kutaka kutawala.
Hivi kulikuwa na ubaya gani kumuacha Mwingereza aendelee kutawala?
Tungekuwa mbali sana.
Ngozi nyeusi hakuna tunachojua zaidi ya Rushwa, ufisadi na kupenda sifa.
Ni heri ulalamike kuwa mipango haikuwa mizuri baada ya kupata Uhuru, badala ya kulilia kutawaliwa. Mbona akina Singapore waliendelea baada ya kuwa huru?!

Unanikumbusha kisa cha kwenye Biblia; Waisrael walivyokuwa wanalalama kutaka kurudi utumwani Misri hadi Mungu akaamua wafie Jangwani na wasifike nchi ya ahadi.
 
Ni heri ulalamike kuwa mipango haikuwa mizuri baada ya kupata Uhuru, badala ya kulilia kutawaliwa. Mbona akina Singapore waliendelea baada ya kuwa huru?!

Unanikumbusha kisa cha kwenye Biblia; Waisrael walivyokuwa wanalalama kutaka kurudi utumwani Misri hadi Mungu akaamua wafie Jangwani na wasifike nchi ya ahadi.
Nyerere alikazania kufuata Siasa Za kanisa lake Za kuuwa uislamu Na Zanzibar
 
Ukiacha swala zima la utawala bora na mambo mengineyo yaliyotushinda mpaka sasa, hata hili la vyumba vya madarasa na matundu ya choo,nalo bado ni tatizo miaka 60 tangu tuanze kujitawala.


Cha ajabu, 2025 CCM watataka tena wachaguliwe ili waendelee kuongoza hii nchi na kuna watu watawapigia kura.

Alietuloga alaniwe.

View attachment 1952384
Mentality zile zile za kilofa. Kuna ndege imetua na watalii zaidi ya 200 Arusha mchana wa leo, lakini mtanzania anaendelea kulialia mtandaoni badala ya kujiuliza atapata vipi fursa za kujiendeleza.

Mnaendelea kutafuta picha za kukatisha tamaa wakati nchi imejaa kila aina ya kivutio. Badilika muungwana.
 
Ni heri ulalamike kuwa mipango haikuwa mizuri baada ya kupata Uhuru, badala ya kulilia kutawaliwa. Mbona akina Singapore waliendelea baada ya kuwa huru?!

Unanikumbusha kisa cha kwenye Biblia; Waisrael walivyokuwa wanalalama kutaka kurudi utumwani Misri hadi Mungu akaamua wafie Jangwani na wasifike nchi ya ahadi.
Hiko kisa cha Wana wa Yakobo(Israeli) hakina uhusiano na kisa cha Watanganyika.
Watanganyika mpaka sasa ni watumwa.
Hebu kaa peke yako fikiri utaamini hili ninalolisema.
Hebu vuta picha jinsi Tanganyika ilivyojaa mito, maziwa, fukwe za bahari, hifadhi, uoto safi lakini mpaka sasa kuna wanafunzi wa chuo kikuu wanakatisha masomo kwakushindwa kulipa ada.
Mpaka sasa Tanganyika kuna nyumba za nyasi.
 
Ni tamaa ya wachache , akina Nyerere kutaka kutawala.
Hivi kulikuwa na ubaya gani kumuacha Mwingereza aendelee kutawala?
Tungekuwa mbali sana.
Ngozi nyeusi hakuna tunachojua zaidi ya Rushwa, ufisadi na kupenda sifa.
Wazungu waliitawala afrika kwa miaka 300-400 kina Nyerere walikabiziwa nchi ikiwa na Hali gan kulikua na miundombinu yyte !??!!! Leo hii Ccm Ina miaka 60 tu Kuna barabara Kila mahari.. internet mpka kwe2 kijjni Huku inayokueezexha hata ww kuitukana Kuna xhule Kila mahari na imekudomesha ww mpk umejua kiingereza Cha kuabudia mabeberu ko Viongozi we2 WA kiafrika Wana vision kubwa Sana na wanawapenda mataifa Yao..,, xema wanasiasa huwachafua Bure kwa masirahi ya mabeberu
 
Hiko kisa cha Wana wa Yakobo(Israeli) hakina uhusiano na kisa cha Watanganyika.
Watanganyika mpaka sasa ni watumwa.
Hebu kaa peke yako fikiri utaamini hili ninalolisema.
Hebu vuta picha jinsi Tanganyika ilivyojaa mito, maziwa, fukwe za bahari, hifadhi, uoto safi lakini mpaka sasa kuna wanafunzi wa chuo kikuu wanakatisha masomo kwakushindwa kulipa ada.
Mpaka sasa Tanganyika kuna nyumba za nyasi.
Sawa nitakaa peke yangu ni tafakari. Ila na wewe mfano wako wa ada nao sio. Hata kwa Biden pia kuna watu wanashindwa kulipa ada.
Kweli, tulitakiwa tufanye zaidi kwa rasilimali tulizonazo.
 
Mwana safiri na private car au hata basi, Toka Dar- Kahama,
Dar - Masasi halafu angalia makazi ya wananchi.
Aisee unaweza kuanza mfungo bila kukusudia.
Sawa nitakaa peke yangu ni tafakari. Ila na wewe mfano wako wa ada nao sio. Hata kwa Biden pia kuna watu wanashindwa kulipa ada.
Kweli, tulitakiwa tufanye zaidi kwa rasilimali tulizonazo.
 
Back
Top Bottom