Hizi pingamizi kwa wachezaji wa Simba maana yake ni nini?

Hizi pingamizi kwa wachezaji wa Simba maana yake ni nini?

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
16,784
Reaction score
23,312
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Hadhi ya Wachezaji, wachezaji watatu wa Simba wamewekewa Pingamizi na vilabu tofauti.

Yusuph Kagoma, Awesu Awesu na Valentino.

Pingamizi la Kagoma ni Yanga kudai Singida fountain gate hawajarudisha pesa zao baada ya kuwalipa lakini mchezaji walishindwana naye akasajili Simba.

Pia soma: Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Kinachoacha maswali tatizo sio mchezaji bali ni madai ya hizo klabu mbili. Kwanini mchezaji awekewe pingamizi wakati Yanga kwa maelezo yao mchezaji hajachukua pesa wala kusaini? Huu ni ubabaishaji mkubwa.

Swala la Awesu ni KMC kudai ni bado mchezaji wao na wana mkataba naye lakini taarifa za ndani Awesu amewalipa milioni 50 kama mkataba wake unavyotaka Ila club wanataka walipwe milioni 70.

Huu ni mitihani mwingine kwa sababu swala la Awesu linafanana na swala la Feitoto je, wataamua tofauti? Hilo ndio jibu linalosubiriwa.

Pia tayari wameshasikiliza swala la Lameck Lawi lakini mpaka sasa hawajatoa majibu.
 
Bongo upande wa usajili uhuni mwingi timu zinajiamulia kumshawishi mchezaji mwenye mkataba, bila kufuata ruhusa ya timu inayo mmiliki. Mchezaji anajiamulia kususa,anaamua kuondoka bila kuitaarifu timu inayo mmiliki na vilevile anajiamulia transfer fees na kudeposit kwenye account ya timu inayo mmiliki bila kuwashirikisha wamiliki.

So kwa kifupi kama hakutokuwa na sheria kali itakayo mwajibisha Mchezaji na timu zitakazo vunja hizo sheria, huu uhuni utaendelea siku zote.
 
Bongo upande wa usajili uhuni mwingi timu zinajiamulia kumshawishi mchezaji mwenye mkataba, bila kufuata ruhusa ya timu inayo mmiliki. Mchezaji anajiamulia kususa,anaamua kuondoka bila kuitaarifu timu inayo mmiliki na vilevile anajiamulia transfer fees na kudeposit kwenye account ya timu inayo mmiliki bila kuwashirikisha wamiliki.

So kwa kifupi kama hakutokuwa na sheria kali itakayo mwajibisha Mchezaji na timu zitakazo vunja hizo sheria, huu uhuni utaendelea siku zote.
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Hadhi ya Wachezaji, wachezaji watatu wa Simba wamewekewa Pingamizi na vilabu tofauti.

Yusuph Kagoma, Awesu Awesu na Valentino.

Pingamizi la Kagoma ni Yanga kudai Singida fountain gate hawajarudisha pesa zao baada ya kuwalipa lakini mchezaji walishindwana naye akasajili Simba.

Pia soma: Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Kinachoacha maswali tatizo sio mchezaji bali ni madai ya hizo klabu mbili. Kwanini mchezaji awekewe pingamizi wakati Yanga kwa maelezo yao mchezaji hajachukua pesa wala kusaini? Huu ni ubabaishaji mkubwa.

Swala la Awesu ni KMC kudai ni bado mchezaji wao na wana mkataba naye lakini taarifa za ndani Awesu amewalipa milioni 50 kama mkataba wake unavyotaka Ila club wanataka walipwe milioni 70.

Huu ni mitihani mwingine kwa sababu swala la Awesu linafanana na swala la Feitoto je, wataamua tofauti? Hilo ndio jibu linalosubiriwa.

Pia tayari wameshasikiliza swala la Lameck Lawi lakini mpaka sasa hawajatoa majibu.
Hivyo hivyo mpaka wanyooke.
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Hadhi ya Wachezaji, wachezaji watatu wa Simba wamewekewa Pingamizi na vilabu tofauti.

Yusuph Kagoma, Awesu Awesu na Valentino.

Pingamizi la Kagoma ni Yanga kudai Singida fountain gate hawajarudisha pesa zao baada ya kuwalipa lakini mchezaji walishindwana naye akasajili Simba.

Pia soma: Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

Kinachoacha maswali tatizo sio mchezaji bali ni madai ya hizo klabu mbili. Kwanini mchezaji awekewe pingamizi wakati Yanga kwa maelezo yao mchezaji hajachukua pesa wala kusaini? Huu ni ubabaishaji mkubwa.

Swala la Awesu ni KMC kudai ni bado mchezaji wao na wana mkataba naye lakini taarifa za ndani Awesu amewalipa milioni 50 kama mkataba wake unavyotaka Ila club wanataka walipwe milioni 70.

Huu ni mitihani mwingine kwa sababu swala la Awesu linafanana na swala la Feitoto je, wataamua tofauti? Hilo ndio jibu linalosubiriwa.

Pia tayari wameshasikiliza swala la Lameck Lawi lakini mpaka sasa hawajatoa majibu.
Ukiuza kiwanja mara 2 halitamilikiwa mpaka urudishe hela ya watu. Mchezaji anamilikiwa na Timu, haiwezi kutoa release letter mpaka ilipe hela ya watu. Aliyewaruhusu SFG wazungumze na Yanga Hadi wakapokea fedha ya mauzo ni Kagoma na ana mkataba nao wa awali, àlipopata deal kubwa akabadili uelekeo. Wachezaji wa Tanzania Mikataba inawapa mtihani.
 
Hizi ni hujuma tu kwa simba . Hata ambae hana D japo hata moja tu analing'amua hili.

Mbona hatujasikia vilabu vya nje vikiwalalamikia hao simba?

Ndiko kusema simba wanajua taratibu za kusajili wachezaji wa nje tu halafu taratibu za kusajili wachezaji wa ndani hawazijui?
 
Hizi ni hujuma tu kwa simba . Hata ambae hana D japo hata moja tu analing'amua hili.

Mbona hatujasikia vilabu vya nje vikiwalalamikia hao simba?

Ndiko kusema simba wanajua taratibu za kusajili wachezaji wa nje tu halafu taratibu za kusajili wachezaji wa ndani hawazijui?
Hili ni zao la kesi ya Feisal dhidi ya Yanga, baada ya kuruhusu uhuni wa uvunjifu wa kuvunja mikataba kiholela, kila mchezaji anaona ili kuvunja mikataba unatakiwa kutoa kiasi cha pesa kiasi fulani ndipo uwe huru. Huko nje ya nchi timu zinafuata utaratibu wa kufuata timu ili kuzungumza nao kuhusu mchezaji ila kwa Tanzania timu na wachezaji kwavile wana tamaa ya kucheza Simba au Yanga na tayari kuna mwanya uliopatikana kwenye sakata la Feitoto basi wanatembea humo humo.
 
Tatizo virabu vyetu pendwa huwa vinasajiri tu kwa mihemuko kuliko
 
Ukiacha Job, Bacca na Feisal, top cream yote na hazina iliyobaki ya taifa kwa wachezaji wa ndani kwa sasa ipo Simba. Hili linawaumiza kichwa baadhi ya watu.

Tukiweka siasa pembeni, kikosi cha kwanza cha timu ya taifa itakayocheza AFCON 2027 itakuwa 70% wachezaji wa Simba, hapo bado hawa wageni kina Nouma ambao ama tayari wapo au watakuwa wameshaingia kwenye timu zao za taifa. Kiufupi kama mambo hayatabadilika, Simba itajaza wachezaji wengi sana kwenye AFCON 2027. Watu hawajui mahesabu wanayopiga Simba.
 
Umafia, Ubaya Ubwele ni slogans zinazoashiria kutofuata Sheria na taratibu!

Simba Wanaleta mambo ya kizamani kwenye soka la kisasa!
 
Ukiacha Job, Bacca na Feisal, top cream yote na hazina iliyobaki ya taifa kwa wachezaji wa ndani kwa sasa ipo Simba. Hili linawaumiza kichwa baadhi ya watu.

Tukiweka siasa pembeni, kikosi cha kwanza cha timu ya taifa itakayocheza AFCON 2027 itakuwa 70% wachezaji wa Simba, hapo bado hawa wageni kina Nouma ambao ama tayari wapo au watakuwa wameshaingia kwenye timu zao za taifa. Kiufupi kama mambo hayatabadilika, Simba itajaza wachezaji wengi sana kwenye AFCON 2027. Watu hawajui mahesabu wanayopiga Simba.
Wewe unaleta ushabiki tu, wachezaji gani hao wa Simba ulishawapa uhakika wa kutokununuliwa, majeruhi wala kushuka kiwango? Wataje kwa majina. Miaka mitatu kwa mpira wa miguu ni mingi au michache kutegemea na mazingira.
 
Bongo upande wa usajili uhuni mwingi timu zinajiamulia kumshawishi mchezaji mwenye mkataba, bila kufuata ruhusa ya timu inayo mmiliki. Mchezaji anajiamulia kususa,anaamua kuondoka bila kuitaarifu timu inayo mmiliki na vilevile anajiamulia transfer fees na kudeposit kwenye account ya timu inayo mmiliki bila kuwashirikisha wamiliki.

So kwa kifupi kama hakutokuwa na sheria kali itakayo mwajibisha Mchezaji na timu zitakazo vunja hizo sheria, huu uhuni utaendelea siku zote.
Upumbavu wa wanaoandaa mikataba ndio tatizo.
Kama mkataba uko wazi unaruhusu mchezaji kuuvunja unataka timu inayomtaka ikafanye nini tena?
 
Ukiacha Job, Bacca na Feisal, top cream yote na hazina iliyobaki ya taifa kwa wachezaji wa ndani kwa sasa ipo Simba. Hili linawaumiza kichwa baadhi ya watu.

Tukiweka siasa pembeni, kikosi cha kwanza cha timu ya taifa itakayocheza AFCON 2027 itakuwa 70% wachezaji wa Simba, hapo bado hawa wageni kina Nouma ambao ama tayari wapo au watakuwa wameshaingia kwenye timu zao za taifa. Kiufupi kama mambo hayatabadilika, Simba itajaza wachezaji wengi sana kwenye AFCON 2027. Watu hawajui mahesabu wanayopiga Simba.
Ehe baada ya kujaza wachezaji wengi afirikoni hiyo 2027 Tuambie Sasa watavuta kiasi Gani Cha pesa au watapata kombe lipi au medali zipi uko Afirikoni?
 
Upumbavu wa wanaoandaa mikataba ndio tatizo.
Kama mkataba uko wazi unaruhusu mchezaji kuuvunja unataka timu inayomtaka ikafanye nini tena?
Hamna mkataba husio vunjwa, ila mikataba ina taratibu zake na lazima pande zote zihusika. Haiwezekani wachezaji na timu zijiamulie tu utafikiri mjamzito, mara hajisikii kucheza, mara hayupo kambini, mara kudeposit hela etc.Kama mkataba ulisainiwa na pande mbili basi lazima mkataba ukivunjwa hizo pande mbili zihusike na ndio professional.
 
Ehe baada ya kujaza wachezaji wengi afirikoni hiyo 2027 Tuambie Sasa watavuta kiasi Gani Cha pesa au watapata kombe lipi au medali zipi uko Afirikoni?
Eeeh?

Wewe unaleta ushabiki tu, wachezaji gani hao wa Simba ulishawapa uhakika wa kutokununuliwa, majeruhi wala kushuka kiwango? Wataje kwa majina. Miaka mitatu kwa mpira wa miguu ni mingi au michache kutegemea na mazingira.

Muwe mnasoma na kuelewa vizuri mtu alichoandika kabla ya kuchangia, siyo unaacha baadhi ya maneno yake ili tu upate angle ya kubishana naye na kumkosoa. Umesoma hapo nilipoandika "kama mambo hayatabadilika"? Umeelewaje au unadhani nimeandika tu?

Kama target ya klabu ni hiyo unadhani mikataba ya wachezaji hao inafananaje? Miaka 3 ijayo hawa wachezaji wengi ndiyo watakuwa wanaingia kwenye peak. Na hapo imagine Simba iwe imefanya vizuri sana miaka hii 2 hadi 3 katika mashindano ya Afrika.
 
Udugu umala, ubaya ubwela! 🤠🤓😂
 
Eeeh?



Muwe mnasoma na kuelewa vizuri mtu alichoandika kabla ya kuchangia, siyo unaacha baadhi ya maneno yake ili tu upate angle ya kubishana naye na kumkosoa. Umesoma hapo nilipoandika "kama mambo hayatabadilika"? Umeelewaje au unadhani nimeandika tu?

Kama target ya klabu ni hiyo unadhani mikataba ya wachezaji hao inafananaje? Miaka 3 ijayo hawa wachezaji wengi ndiyo watakuwa wanaingia kwenye peak. Na hapo imagine Simba iwe imefanya vizuri sana miaka hii 2 hadi 3 katika mashindano ya Afrika.
Hayo malengo yawekwe na tff Kwa Starz yatakuwa na mantiki lakini sio Kwa club kama simba
 
Back
Top Bottom