Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Nakuambia siwezi kwenda bush mie,,halaf kaja ananitafuta sitaki hata kumuona aiseeMama sabrina huyoooo
Hivyo ndo unapenda sasa mama sabrina, sasa yule mdogo wake wazir alitaka akupeleke kanda ya ziwa ukale viaz vitamu
Hajui kama wewe mambo yako ni ya kizungu zungu
Nilidhania umetoa povu ,uje hapa nikuleweshe mpaka utambaeeUmenikumbusha mdada mmoja nilimvulia kofia alienda sminof 13 hadi nikajua ananikomoa....
Nilichofanya namimi nikamkomoa ila hakupepeseka wala.
G nilikuvulia kofia.
Nimekuambia sijaelewa[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba akili za gambe ama?
Heheheheheh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Kesho usiseme kuna mtu alihack account yako, tafadhari
kwenye demu hapo ingekuwa wew mwenyewe ningekuja fasterNipo nakunywa hapa,lakin silewii,,,ina maana nimekuwa kalevi kalikotukuka ama?yaan pombe imezoea damu ama[emoji23]
Nimekunywa ka saint Anna na bia kama 10 yaan hata ndio kwanza,,acha nikalale tu ,,naacha pombe kuanzia leo[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakaeongea povu hapa nakuelekeza nilipo uje unywe bia 5 nakupatia na demu mmoja mkali sanaa[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Muwe na siku njema
Mim mwenyewe mkali sema dau langu kubwakwenye demu hapo ingekuwa wew mwenyewe ningekuja faster
Upo mikono mwake mwenyeweHivi Mwanamke mlevi usalama wake upoje?
Nimelipia kabisaTangazo hili
Nimiminie kwenye glass yangu pm.Nilidhania umetoa povu ,uje hapa nikuleweshe mpaka utambaee
Njoo basi
Wewe njoo ,,kwani tax sh ngapiiiiNimiminie kwenye glass yangu pm.
Wewe mlevi ndiye mtoa povu.
HehehehehUlifanya vizur sana kumtosa yule mkanda ya ziwa
Hahaha...... Isije ikawa unaniitia bill wewe . Unawakukubeba lakini wasije wakapita na wewe.Wewe njoo ,,kwani tax sh ngapiiii