Hizi pombe za sikukuu bhana, nimemwona mrembo akinywa safari lager!

Tena mrembo kweli. Anakunywa safari lager tena za moto. Ila alijistukia baada ya kuona jamaa wanamwangalia sana. Baada ya kunywa kama bia 2 hivi akabadilisha na kuagiza serengeti.
Nimeshangaa kweli aisee. Hizi pombe za sikukuu ni sheeeder aisee
Watu kama wewe mnasumbuliwa na Mtazamo au maisha ya kuiga / artificial, sasa kama ungekutana na wanawake wanaopiga mzinga wa Konyagi ungesemaje?
 
Ki ukweli mwanake apendezi kunywa bia hizi. Safari, castle lager, hata serengeti. Mwanamke anywe lite ndovu heineken au bia za kopo. Haya mapombe yenye ujazo wa 500ml hayawafai kwa kweli.

Ukiona mwanamke anakunya konyagi, Safari au castle lager, jua ni mwelewa na anajua anachokifanya.

Na Mara nyingi huwa wawazi muda wote kuonyesha hisia zao


Hao wanaokunywa bia laini wengi wao jua ni wasanii kuliko wasanii wenyewe.
 
baa niende kufanya nn?nunua viroba vya buku 5 tia mfukoni then tandika ki1 baada ya kingine
 
Ki ukweli mwanake apendezi kunywa bia hizi. Safari, castle lager, hata serengeti. Mwanamke anywe lite ndovu heineken au bia za kopo. Haya mapombe yenye ujazo wa 500ml hayawafai kwa kweli.
WAMEGOMEA WINE? OOH NAKUNYWA DOMPO !!!
 
Nilisoma gazeti mwananchi kuwa pilsner inaitwa UKAWA kwani ni bei ya wananchi, na vile ukawa inataka kuleta unafuu wa maisha ikawa hivyo. Oh kumbe inaitwa pia kifurushi cha chuo. Several names
Hehehe ndy jina lingine maarufu ni ukawa!
 
warembo wanagonga viroba na bange unashangaa safarii lager!?
 
mi mzee wa juice na fegi hapo naona maluweluwe tu, nisepe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…