Hizi Prado za sasa hivi naona ni za kiwango kingine kabisa

Wengi hawatahitaji brand new. Ziko model za kuanzia 2018 zinauzwa bei ya chini sana ukilinganisha na hiyo ya TOYOTA brand new. Ukiwa na 130 - 150 unapata mileage karibia na 0
Okay niliona watuvwanaongelea zero km
 
passo utembelee 12km per litre?

Labda kama ni mbovu
Niamini ninachokwambia ndugu unaweza usiamini. Passo hizi unazoona hizi. Ukitaka upate gari ndogo nzuri tumia IST ipo very economical na engine zake zipo safi kwa nguvu.

Passo usije ukajiloga. Engine yake hamna kitu.... Ni ubahiri tu ndio unatufanya tuone gari ndogo ni nafuu ila passo hapana.....

Nilifanya service nikabadili plugs zote, aircleaner, nikachange oil, na tairi mpya, ndio ikawa inacheza wastani wa hizo lita 12 na sometimes 13 kwa wastani. But nikaja kujua tatizo ni engine ndogo. Na engine za passo hazinaga nguvu.

Ukibeba watu ukawasha AC kwenye muinuko unaona kabisa gari inastruggle kupanda.... Haina nguvu. So hii ikanionyesha wazi kuwa haka kagari hakana nguvu na ndio sababu mafuta kanakula isivyo stahili.

Na pia na wenzangu kama watatu wamekuwa na experience hiyo hiyo nimeona.
 

Mkuu I still insist kwamba hizo engine zina shida.

Hivi unajua 1kr ikiwa nzima inatakiwa kwenda Km ngapi kwa lita? Ni somewhere around 22km mpaka 23km.


Engine ikishakuwa ndogo basi ganya service na vitu ambavyo Oem amerecommend. Kinyume cha hapo utalaumu kila kitu.

Mtu ana Passo ya piston 3 halafu confortably anaweka Engine Oil 20W 50 really? Au anaokota tu plug anaweka.

Naongea from Experience as nmeshaina Passo mbili zenye consuption ya around 18Km per lita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…