Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Hizi projects zitaifanya Dar kua unbeatable lifetime modern city in East Africa

Dar es sluum
tanzania-dar-es-salaam-aerial-view-on-suburbs-F4CEXF.jpg


satellite-02-rendered.jpg
 
Kwahiyo ulitaka isijengwe stendi. Tupe mbadala wa wapi bus zipate parking. Ubungo zina sababisha foleni.
Sizungumzii stend isijengwe nachozungumzia mimi ni uzembe unaofanywa wa kuruhusu kujengwa miradi inayo cost lot of money na kufunguliwa kwa mbwembwe na wanasiasa huku ikijengwa chini ya kiwango na kushindwa kuisimamia kwa umakini na kuwaacha wananchi bado wakiteseka kwa gharama za juu za maisha.

Kama upo timamu kichwani na ukiweka siasa zako uchwara pembeni,unadhan kulikuwa na haja gani kujenga yard ya Mwendokasi pale Jangwani hali yakuwa Ubungo palikuwepo.hata ukisema ilijengwa na kandarasi kutoka nje,je engineer wa manispaa au jiji alikuwa wapi,waziri wa ujenzi wa wakati huo alikuwa wapi na leo hii mnatamba hapa kwamba stand inahamishwa tena kwa gharama nyengine.

Na huyo waziri wa ujenzi wa wakati huo aliyeruhusu pale mtoni pajazwe udongo{well kabla huu wazimu wa kujenga kituo pale haujafanyika palikuwa na njia nzuri za maji kupita yanavyotaka maana jangwani yote ile ni mkondo wa mto}pia aliufungua kwa mbwembwe bila kujiuliza athari zitakazotokea.

Hii gharama yote hii ingetumika kujenga hospital ingejenga hospital ngapi?kama ni shule zingejengwa shule ngapi?kuna wafanyakazi wanadai hela zao za uhamisho je kama kituo kingejengwa mapema ubungo na hizi hela wanazotaka kujengea pale leo zikaja kulipa hawa watu zingewalipa wangapi na huoni kama hawa kupata pesa zao ingechagiza kuwa na moral zaidi ya kufanya kazi ili taifa lisonge mbele?

Fikiri kama mtu alie hai mzee acha kuwaza kisiasa siasa kila wakati!
 
80% in Nairobi.😀😀😀Check out @AlexChamwada’s Tweet:
 
Wewe unachuki zakishamba sana
Ulitakaje labda
........Unajua nini kuhusu chuki wewee!!!hapa hatuzungumzii ugomvi wako na mawifi zako hapa tunazumgumzia mustkabadhi wa taifa na hapa tunachambua kwa facts toa na wewe hoja zako usilete mipasho!
 
Ukapimwe siyo bure
Wote sisi ni watanzania, hakuna sababu za kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Dar haliwezi katu kuwa modern city, ukizungumia manispaa zote za jiji kuwa modern unajidanganya mkuu.

The thing is, tunapenda kusikiliza maneno matamu.
 
Nmekumbuka picha za mchoro wa Uwanja mpya wa taifa kabla haujajengwa na kilichokuja kujengwa ni vitu viwili tofauti.
 
zikikamilika itawapa boost nakubaliana na hio mkuu ila kusema kuwa ndio itakuwa the most modern city in EA baada ya stendi ya basi sikubaliani...hapo ndio nina tashwishi nayo ila kwa sgr yenu nawapa tick kabisa
Kwanza Tanzania wana modern bus station east and central Africa ya Msanvu bus terminal ya Morogoro

Hii ya DSM ikikamilika ndio itaishinda ya Morogoro
 
Wote sisi ni watanzania, hakuna sababu za kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Dar haliwezi katu kuwa modern city, ukizungumia manispaa zote za jiji kuwa modern unajidanganya mkuu.

The thing is, tunapenda kusikiliza maneno matamu.
Mkuu kwa east Africa dar ni modern city nimekuwa Uganda ,na Nairobi kwa nyakati tofauti , Nairobi ni chafu sana ,miundombinu yao mizuri ni barabara ya Thika tu lakini nayo chafu sana

Uganda , inabarabara finyu na kelele nyingi jiji lina milima mingi na haliendelei sana

Dsm inaongoza MKUU
 
Mkuu kwa east Africa dar ni modern city nimekuwa Uganda ,na Nairobi kwa nyakati tofauti , Nairobi ni chafu sana ,miundombinu yao mizuri ni barabara ya Thika tu lakini nayo chafu sana

Uganda , inabarabara finyu na kelele nyingi jiji lina milima mingi na haliendelei sana

Dsm inaongoza MKUU
Nadhani EA Rwanda yupo juu, mji msafi na umepangika.
 
Wote sisi ni watanzania, hakuna sababu za kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Dar haliwezi katu kuwa modern city, ukizungumia manispaa zote za jiji kuwa modern unajidanganya mkuu.

The thing is, tunapenda kusikiliza maneno matamu.
Kwanini ishindwe kuwa modern city unatumia vigezo gani ...?....kwani dar imeshamalizika kujengeka...?...au kwa uelewa wako modern city ni nini... ?...na je Dar ya 2006 ukicompare na sasa inafanana...?
vitu vingine tusiwe tunatoa mitazamo tu ilimradi,dar pamoja na hii nchi kwa ujumla bado tunasafari ndefu sana...


 
Kwanini ishindwe kuwa modern city unatumia vigezo gani ...?....kwani dar imeshamalizika kujengeka...?...au kwa uelewa wako modern city ni nini... ?...na je Dar ya 2006 ukicompare na sasa inafanana...?
vitu vingine tusiwe tunatoa mitazamo tu ilimradi,dar pamoja na hii nchi kwa ujumla bado tunasafari ndefu sana...


Well, ngoja tuongee sababu ya jiji la Daslam kutoweza kuwa modern city, naona labda tuna tatizo la exposure au huenda kila mtu ana tafasiri yake ya neno modern city.

1. Mipango miji
Idara ya mipango miji ni moja ya idara zilizofeli nchi hii, ni maeneo machache sana yaliyopangwa, bahati mbaya sana mji unapanuka kuelekea sehemu kama Kibaha, Bunju na njia ya Kusini. Hakuna juhudi zozote za kuhakikisha makazi mapya yanapangwa...HAKUNA.

Miundombinu kufuata makazi
Katika nchi yoyote duniani, nchi iliyojipanga kutengeneza makazi yaliyopangika, yenye miundombinu bora ya maji safi na taka, barabara, umeme na huduma nyingine muhimu. Niambie ni maeneo gani Daslam umewahi kukuta hilo limefanyika.

Viwanja kuuzwa kiholela
Hilo naamini unalijua, kila mwenyw plot yake huuza anavyojisikia, huyu anauza 10x10, yule 12x15 etc, serikali haifanyi kazi yake, hati zimekuwa ngumu na mlolongo wake ni mgumu kuzipata.

Kifupi tu tuna changamoto nyingi sana ili kufikia hicho unachodhani tunaweza kukifikia.
 
Back
Top Bottom