Hizi promo nyingine, eti Diamond kalipwa pesa nyingi na BET!

Kwan uyo jide na ay ni lini nyimbo zao zmechezwa bet? Daah haters mna tabu sana.. yan iyo bet hata davido wmbo wake ukchezw lazma apost c muende mkaangalie post za davido alpoitoa fans m pale ipo post moja kawashukur bet.
 
mimihapauk

Acha ubishi usio na evidence. Tatizo umezoea uswahili wa Tv za kibongo bongo bila kujua mambo yanavyoendeshwa kwenye Tv za wenzetu walioendelea
 
dai bwana ana vituko asipoacha sifa tutaona mengi mara kanunua lambogin mara choo 70m katengeneza mara kaenda kwenye harusi ya p square mara kajaza watu kwa lowasa mara singida but lets wait n see if continues what happen ???

hii ni dhahiri roho inakuuma jomba hivi kwani kupenda show off dhambi? Si nimesikia ata King wenu mwenyewe kanuna anacomplain kwann watu hawashoboki na ubalozi wa tembo kwani yupo na mastari wakubwa duniani na analalamika wasanii wenzie hawampi support ya kumposti au hio sio kupenda show off?

Wewe ukae kabisa yani ukisubiri downfall ya Chibu hater!!!!
 
mimihapauk

Uongo hupingwa kwa ukweli +Facts and evidence! i want to see those facts and evidence...
Wanamsafishia hela zake chafu huyo hana lolote. Wangapi nyimbo za zinapigwa bet na sijasikia wakitangaza kulipwa kisu kirefu....au hiyo video ya d inawaingizia kiasi gani hao bet mpk wamlipe hvy. Acheni promo za kitoto mbele kule kila kitu kiko wazi

Wla hainiumi coz mimi sina team wenye timu wako wanacheza dakika 90 huko EPL na bundesliga. Mimi anapenda fact na ukweli sio kupumbaza watu ambao ni wazito kufanya research
 
Last edited by a moderator:
jamaaa anapenda sifa sana yule kwa hiyo jidee itakuwa na yy na AY wanalipwa mpunga mrefu mbona wapo kimya duu ila dai hata akibadilisha viatu anaonyesha mashabiki haya bwana!
We need facts and evidence sio maneno matupu!
 
dai bwana ana vituko asipoacha sifa tutaona mengi mara kanunua lambogin mara choo 70m katengeneza mara kaenda kwenye harusi ya p square mara kajaza watu kwa lowasa mara singida but lets wait n see if continues what happen ???
Mimi ninacho hitaji kuona mna mpinga kwa hoja na uthibisho kuwa ana danganya...
 
Hii nimeitoa kwa MPOKI " Anayekuchukia hata utembee juu ya maji kama Yesu bado watasema ni kwa vile hujui kuogelea ndo mana unatembea juu ya maji ungejua kuogelea ungeogelea si kutembea " ndio hawa badala ya kuleta udhibitisho wanatema chuki,
 
Hii nimeitoa kwa MPOKI " Anayekuchukia hata utembee juu ya maji kama Yesu bado watasema ni kwa vile hujui kuogelea ndo mana unatembea juu ya maji ungejua kuogelea ungeogelea si kutembea " ndio hawa badala ya kuleta udhibitisho wanatema chuki,
Kweli kabisa..
 
Mbona unalili liaa?.. Kinachokuuma wewe nini? Yeye kusema amelipwa inakuongezea au inakupunguzia nini? Naomba ututhibitishie kuwa kweli umedanganywa na ukishindwa basi we ni KILAZA Kama ulivyosema mwenyewe,,,, Tafuta pesa kijana acha Kulialia
Teh Teh umenikumbusha tangazo la airtel anasema mbona una lia lia kwani we una shillingi ngapi?
 
Hivi na nana kabla ya kutoka jamaa akatupia insta application yake kuonesha kuwa nana ita riliziwa BET iliishia wapi?
 
Hivi na nana kabla ya kutoka jamaa akatupia insta application yake kuonesha kuwa nana ita riliziwa BET iliishia wapi?

Nani alikudanganya itakuwa released BET? Kwenye ile form uliielewa au ndo division 5 at work! hujui maana ya submission form?
 
Reactions: me1
Ukiona hivyo angalia tu meneja wote wa Dai utaona hakuna hata mmoja alifika walau Form 2, sasa hapo jawabu unalo kichwani.

#Umaarufu na #Fedha ni sumu kwa mjinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…