Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Nyumba itapwaya🤣!Ahahah wife to be ni midle 😂😂
Wewe ni wakwaza?Nyumba itapwaya🤣!
Ndiyo💪Wewe ni wakwaza?
Bas naomba nikuoe weweNdiyo💪
Wanawake mnapochagua waume ulizieni ma first born mtafaidi sanaHapo bado hujaoa...! Sipati pichq hata mende utakua unarukia kitandani ..mkeo ana kazi🤣..uoe first born ili afix magape
Ahahaha una wadanganya hao wanakuwa na majukum 😂😂😂 waje kwetu lastWanawake mnapochagua waume ulizieni ma first born mtafaidi sana
Hakika...unaweza kuambukizwa woga na hawa malastbon aise..had inachefua ujueWanawake mnapochagua waume ulizieni ma first born mtafaidi sana
Siwezi kulea...Bas naomba nikuoe wewe
🤣🤣🤣🤣🤣Weka headphones
Siwezi kulea...
Tuambie radi ina athari gani kwenye nguo nyekundu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah hizi radi za hapa Dar this week zitatumaliza soon nime ghail kwenda taifa kisa radi af nguo nyekundu na radi si hazipatani kabisa?
Unavyopenda kitonga humu kwani sikuoni😎..hukawii kuomba ice cream kisa lastborn[emoji23][emoji23][emoji23] mbona mimi last born wa tofauti kabisa
Hahahaha basi yameishaWakunyumba embu tulia uko peramiho vip?
Ahahahaah am good boyUnavyopenda kitonga humu kwani sikuoni😎..hukawii kuomba ice cream kisa lastborn
Mmeshavuna maindHahahaha basi yameisha
Mahindi badoMmeshavuna maind
Ahahah usininyime ujue napenda ugalii wa mahind mpaya😂Mahindi bado