Hizi reli zetu Mh!

RayB

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2009
Posts
2,751
Reaction score
200


Jana kulikuwa na kipindi katika BBC 4 kikionyesha uozo wa TAZARA reli ambayo kidogo watanzania wanajivunia lakini uozo wa humo umenifanya nijiulize kama TAZARA (Freedom Railway) ni hivi, TRL itakuwaje?

Nina bahati mbaya sijawahi kupanda hizi trains Bongo

Kama sio mvivu check hii

http://www.bbc.co.uk/programmes/b00s6bgw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…