Hizi SALON za kiume za massage na Kushave balaa

Inategemea na mkeo/mmeo anaelewa namna gani mimi siwezi kuacha kwenda hizi saloon kwa sababu wanasafisha vizuri kweli hata zile sehemu ambazo mimi na haraka zangu siwezi kumbuka kusafisha.....

Na hawa wanafanya kama nchi nyingine mfano nilienda lusaka, tena kule unanyolewa chumba hiki na unaenda safishwa chumba kingine sasa kama wewe ni mtu wa zipu wazi "ufwa wilola"
 
mie nikienda kwa salon, those ladies make the best part of all the processes...!
 
Kwani akina waume na wake hamujui kunyoana wenyewe kwa wenyewe kuliko kupelekana masaloon..
 
Mazee mi kwenda ni poa tuu, lakini waifu hafanyi hiyo kazi ng'o!
 
Kuna jamaa yangu alienda saloon baada ya kunyolewa akaanza kufanyiwa scrub kwa jinsi alivyokuwa anaguswa mpaka kwenye masikio anapitishwa vidole kwa ufundi na binti wa saloon, mwamvuli uko chini ukaanza kukunjuka, kidogo angepiga bao.

Mkuu Sipo,

Si useme tu wazi kwamba hayo yalikukuta wewe mwenyewe? Kwani wewe ulikuwa umekaa wapi wakati huyo jamaa anakaribia kupiga bao!!!!

Tiba
 

Kwa nini usimunulie mkeo hivyo vitu ili akufanyie yeye nyumbani au unamaanisha mkeo ana mapungufu ya kukuandalia hata mambo mengine.

I think hizi huduma tuzifuatazo Saloon za kike au hata za kiume lakini tunapewa huduma hizo na wanawake zinaweza fanywa na wake zetu vizuri tu tena kwa style yoyote uitakao.

Mimi mke wangu ananifanyia mwenye na na enjoy sana kwa kuwa mkizidiwa mnaendeleza libeneke.
 
hata salon za wanawake kuna wanaume pia wanatoa huduma kwa wanawake.
 
hata salon za wanawake kuna wanaume pia wanatoa huduma kwa wanawake.

Waombeni star TV warudishe kipindi chao cha FUTUHI, walisha wahi ionyesha hii, baba alimkuta mkewe saluni, kijana yuko bize anamsugua kucha.. na kumwambia miguu yako laini, huku mama akijibu mikono yako laini na vicheko vingiiii.. baba kiroho kikauma, mkewe kawa mbogo kwamba hiyo huduma ya saluni tu,

Basi baba kaondoka kaenda saluni ya kufanyiwa 'masaji' na kadada, basi kadada kakawa kako bize kumshika shika yule baba akawa anacheka cheka na kufurahii na kuahidi kuongeza malipo, mkewe alipo fika akakuta huduma kwa mumewe akataka leta zari.. kwamba hako kadada kwanini kana mshika mumewe, yule baba akasema hee, na hii ni huduma ya saluni tu!

It was so funny,

Kwahiyo hizo huduma za jinsia tofauti ni mtego mzuri wa kibiashara, na unafanyakazi vyema tu.
 
jamani waacheni wadada wa watu wamejitafutia ajira hapo kwa kuosha osha watu sura..unaetaka wakuosha sura tusiotaka kama sie twanyoa tu na kutoka nduki..maana sie wengine bwana tukishashikwa shikwa na wamama basi misisimuko inaanza na tunaogopa kufika mbali zaidi...kwahiyo ni wife tu ndo afanyakazi ya kunishika mwili
 
Nimesoma reply zote za hii thread,na sijaona hata mmoja aliyejibu kwa ufasaha maswali yaiyoulizwa na mwenye thread. Kwanini watu mnapenda sana kukimbilia kujibu vitu bila ya kujitayarisha vizuri, kwa maana ya kuelewa swali kwanza na kujibu kwa ufasaha. Au mnajibu ili mjiongezee credit tu. Maana wengine wamejibu kwa maswali zaidi. Tafadhalini, chonde chonde wanajf,kama mnataka kuendelea kuifanya JF iwe sehemu ambayo itakuwa endelevu, basi tujitahidi sana kutoa majibu mazuri kwa maswali yanayoulizwa. Kama unaona jibu huna basi kaa kimya si lazima uandike,for the sake of just writting.

Wakati tunawalalamikia wanasiasa na watendaji wengine wa serikali kwa kulipualipua kazi zao,sasa naona hata hapa hapa JF kuna watu tena wengi tu wanalipualipua kwenye majibu yao kwa thread mbalimbali. Je! Hili ni tatizo la kitaifa?
 

wewe mbona hujajibu ila unawalaumu wengine?hii ndo tabia ya watanzania kulaumlaumu tu bila hata kufikiria haya umeona mwenzio amekosea si umuelimishe na siyo kumlaumu kama ulivyowalumu tena umesema wote waliochangia hii maada hakuna aliyejibu.

wewe wakati unaandika ulikuwa unachangia au ulikuwa unalaumu?

Kikubwa elimisha mtu kabla ya kumlaumu.
 
Mnanikumbusha Ze Origino komedi('Kula njugu na demu')
 
Mkuu nashukuru kwa kukumbushia maswali nilyoyauliza kwenye hii mada. Hata hivyo ni vema pia kusika maoni ama mitazamo tofauti kuhusiana na mada husika kama vile unaionaje hii biashara, ni kwanini kwa siku za hivi karibuni imeshamiri sana.. nk.
 

umesema vema, nilitegemea kuona na wewe ukijaribu kujibu accordingly ili kuonyesha mfano...lakini wapi....angalau ungesema kuhus hili swali lililoulizwa............ wewe huna majibu

pili, nimependa jinsi ulivyoepuka kutumia neno "ovyo ovyo" au "Hovyo Hovyo"....na umetumia neno "wanalipualipua"......well habari za huko Mheshimiwa..........

Back to the mada

Kusema ukweli kwenye biashara ni muhimu kuwa na strategies kuvutia wateja, otherwise ukiwa na business as usual unaweza kujikuta you don't make it.........kwa hiyo mwenye biashara "akili mu kichwa"

pili wateja (kiume/kike) tunapenda kuhudumiwa vizuri, sasa uteja huo uko wapi...thats debatable.....wengine wanasema wake zao ni mafundi wengine wanasema salon zinafanya kazi nzuri....inabaki kuwa very subjective issue.........na ili huduma zisiwe percieved subjective.....inabidi wenye biashara wawe na standard.......sasa kwenye hili sijui kama zipo

Culture nayo inachangia sana.......Our African Culture (Im sorry ndivyo tulivyo)........si vema kuruhusu jinsia tofauti kushika shika mwili wa jinsia mwingine.......ndio maana tumekuw ana majibu kama ulivyoyaona hapo juu mkuu.......ulimwengu wa wengine....trust me it is strictly business.....

kwenye American Top Model kuna jamaa anaitwa "Miss Alexander"....yaani siku zote perception yangu ilikuwa jamaa si riziki.....kumbe jamaa normal....thats what i mean when saying "Strictly business"

my 50cents
 
iyo ndio technologia ma utandawazi bwana, wache watuibie si tunaenda wenyewe
 
Kama unaona wewe inakukwaza usiende. Au ukishanyolewa usisafishwe na hao wadada kama unaona itakuharibia......


,,,,,,Ha ha haaaaa!!,kuna jamaa mmoja huku zenji alikua anakoshwa uso na nywele baada ya kunyolewa,sasa saluni za siku hizi zenji wanaleta wadada walio jaaliwa toka bara,na kama unavyojua tena wadada wa kizenji wengi vi basmati(portable),lijamaa limeshamaliza kuoshwa linaambiwa MAKAME haya amka aje mwingine,,halitaki,,kumbe mambo yalikua yesha kua mabaya kwenye suruali,MNYAMA alikua kesha kamata network,kwa kweli ilikua kali kwelikweli.Hi kitu ni balaa lakini si ndo maendeleo bana,tutazoea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…