Inategemea na mkeo/mmeo anaelewa namna gani mimi siwezi kuacha kwenda hizi saloon kwa sababu wanasafisha vizuri kweli hata zile sehemu ambazo mimi na haraka zangu siwezi kumbuka kusafisha.....
Na hawa wanafanya kama nchi nyingine mfano nilienda lusaka, tena kule unanyolewa chumba hiki na unaenda safishwa chumba kingine sasa kama wewe ni mtu wa zipu wazi "ufwa wilola"
Na hawa wanafanya kama nchi nyingine mfano nilienda lusaka, tena kule unanyolewa chumba hiki na unaenda safishwa chumba kingine sasa kama wewe ni mtu wa zipu wazi "ufwa wilola"