Naona mnapenda kweli kujadili vitu hivi, kama ulifanyiwa si ni wewe na unyamamze kimya!!!!!!!!! Acheni kutuletea stori za chumbani kwenu
Naona mnapenda kweli kujadili vitu hivi, kama ulifanyiwa si ni wewe na unyamamze kimya!!!!!!!!! Acheni kutuletea stori za chumbani kwenu
Hilo ni danguro kaka.Massage parlour ni danganya toto hiyo ndo kinondoni
Naona mnapenda kweli kujadili vitu hivi, kama ulifanyiwa si ni wewe na unyamamze kimya!!!!!!!!! Acheni kutuletea stori za chumbani kwenu
ungekula mtoto kavukavu km noma na iwe nomaa
Nakerwa na tabia ya akina dada wanao fanya kazi za kusugua nyuso za wanaume kwenye salone za kiume kuwa ombaomba wakati wote,imekuwa tabia ya akina dada hao kuzoea wateja kwa nguvu na kuwapachiki majina ya oh mpenzi mara shemeji na papo hapo kukupiga mzinga,balaa inakuwa pale ukimwambia huna ananuna kama vile wewe ndie jamaa yake,na ukizoea kwenda kwenye salone hiyo hiyo ba ukarogwa kutoa tip mara moja au mbili basi hapo umeshakuwa bwana wake ni mizinga kama kawa na ukilogwa kutoa namba yako ya simu umekwisha.Ushauri wangu ukienda salone na ukachangamukiwa basi tafadhali uchune kwani ukijirahisi ndo mwanzo wa kuwa makubwa
ha ha haaa,we preta wewe😛ound:
tayari saa nyiingi kipenzi nimejichokea kama mbuzi.ha ha kumbe upo eeh....hujadodo mpaka saa hii
tayari saa nyiingi kipenzi nimejichokea kama mbuzi.
Eeeh mshaingilia topic ya watu mara hii? Asante kwa infor mkuu