Hizi SALON za kiume za massage na Kushave balaa


Kila kazi inapaswa kuwa na maadili yake lakini katika kila kazi kuna uwezekano wa ama watendaji au wanaofuata huduma kukiuka mipaka au kutokuzingatia maadili ya kazi.Kuanzia kazi za maofisini, kwenye biashara hadi majumbani kuna kupotoka kwa namna hii.

Sasa wewe ndugu unaekwenda salon ni wajibu wako wewe mwenyewe kuweka mipaka baina yako na anayekuhudumia.Kama wewe unakuwa mwepesi kujiweka karibu na mhudumu hadi anakuita "mpenzi" na kuanza kukuomba pesa ujilaumu mwenyewe na wala usilaumu salon! Usichukie mchezaji bali chukia mchezo wenyewe!
 
ngoja nikajaribu kwanza.. afu nitarudi na komentiz!!!:A S tongue:
 
As far as I'm concerned, this "male salon" thingy is a man law violation. What manly man would go to a "salon" to get a facial? That don't even sound right. It sounds very 'zesty' or suspect if you will. What is this world coming to now? SMH
 
Mwenye kujua massage parlour inayotoa huduma zote ani PM
 
mkuu kwenye red..itafikia siku utashikamana na sehemu zingine zisizoshikama. Pia mkuu huwa wanaangalia mtu anareact vipi..kama uko serious hawawezi kukufanyia huo mchezo...ila kama ungeonekana nawe ni mwanachama basi watakushika bila hofu

 
Ktk nchi zote ambazo biashara ya ukahaba si rasmi (marufuku) unaweza kupata huduma ya ngono ktk sehemu za massage, classic salon na ktk night club mbalimbali.
Chanzo; worldsex.com/tanzania
....Unaweza kubadilisha nchi uitakayo baada ya mkato hapo kwenye anuani kwa habari za mambo yetu yaleee... Ha haa!
 
dah nathan its true ukiwa serious haupati kitu!mi nilienda massage pale ilala nikitegemea mambo flan lkn yule dada alishikashika tu mgongo na mapaja basi,duh 40 yangu iliniuma!!ngoja nim PM mzee kandambili anipe ramani,kule sirudi ng'o!!
 
Naona mnapenda kweli kujadili vitu hivi, kama ulifanyiwa si ni wewe na unyamamze kimya!!!!!!!!! Acheni kutuletea stori za chumbani kwenu
<br />
<br />
Ni moja ya tahadhari watu msijefikiri madanguro ni mpaka wale wa kambi ya fisi kipindi hicho tu mjue mpaka masalon wapo na pia humu humu ndo vyanzo vya hiyo VVU
 
Du na nyie dada zetu pesa haitafutwi kwa ujasiria mwili bali kwa kujishughulisha ktk kazi
 
Naulizia tu!!!!wenyeji wa A town huduma kama hizi zinapatikana kitaa gani maana nataka pata massage!!!!MUHIMU SANA KWA AFYA YANGU
 
wakuu, kama kuna mtu yeyote humu ndani anayejua massage center nzuri hapa dar anijulishe na kuwa ipo sehemu gani, i need to have a massage this weekend please.
 
Mbona Mikocheni Massage signs ziko kibao, na moja naiona pale Mbezi beach karibu na White Sands road! Wale wasichana wanalipwa kiduchu ndo maana wanasaka hela za wakware!
 
Achaneni na hizo "Baba Shopu", mbona kwenye zile "hea kating salun" ambazo tunanyoa kwa jero tu uswahilini hakuna hao "wajasiria mwili"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…