the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Kwa hiyo tuliosoma St Kayumba hatuna uwezo wa kufikiri?Hehehehehee mtoe hapo mpeleke kayumba aje awe kama wewe...asiweze kufikiri zaidi
Pole mkuu, nilipata mtoto mmoja alikua anakuja nimfundishe class 6.Watoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.
Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?
Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la saba.
Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.
Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!
Fikisha maoni yako kwenye vikao vya wazazi au shuleni. Hizi shule zina watu wengi ambao hawajasomea ualimu, kingereza kizuri tuu hakutoshi kufundishaWatoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.
Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?
Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la saba.
Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.
Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!
Yaani wanakaririshwa wafauluNi kuna siku nasolve homework ya maswali 60 siku nyingine 80. Nina watoto watatu mmoja Class 6, mwingine class 3 na mwingine KG 2. Huyo wa Class 6 huja na maswali 40 na Class 3 maswali 20 kwani wanaandaliwa kwa Class 7 na clasa 4 zenye mitihani ya taifa. Taabu tupu Baba narudishwa class kwa ulazima.