Kwa kweli uswahilini kuna vituko, hii imetokea mtaani kwetu wikendi hii..........Jamaa katibuana na kimada wake na katika kumaliza hasira zake akaamua kumpigia simu na kumtukana huyo kimada! Sasa kwa hasira kafungua phonebook bila kuwa makini akampigia mkewe badala ya kimada na kumwaga matusi hadi akaridhika......mambo yote yakawa hadharani, jamaa hakurudi nyumbani hadi asubuhi ya jana alipokuja na mshenga na mkwewe kuyasuluhisha. Wazee wa Infidee elimu zaidi inahitajika juu ya zile sheria zenu!!