Sio tamaduni za wazulu sema tamaduni za waafrika weusi. Kwani kabla ya ujio wa waarabu na wazungu watu weusi uchi walichukulia ni kuwa wazi sehem gani ya mwili?
Wao hawataki kuacha asili yao na sio wazulu pekee kuna makabira mengine huko kusini nayo yana hio tamaduni.