Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Ni Mwananchi wa BrazilNasikiliza ufm kupitia kipindi Cha u live mtangazaj anasema Bruno Gomez n mwananchi je Ni kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mule hakuna kocha.Nasikiliza ufm kupitia kipindi Cha u live mtangazaj anasema Bruno Gomez n mwananchi je Ni kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
exactlyNasikiliza ufm kupitia kipindi Cha u live mtangazaj anasema Bruno Gomez n mwananchi je Ni kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tete unajua sana mpira aisee binafsi sijamkubali kabisa yule jamaaIla kama itakuwa kweli, basi atalazimika kuongeza fitness ya mwili wake. Maana dogo ana umayai kama ule wa Fei Toto wakati anatoka JKU. Kipaji kikubwa, halafu laini laini.
Yaani Nkane acheze Bruno ashindwe?Ila kama itakuwa kweli, basi atalazimika kuongeza fitness ya mwili wake. Maana dogo ana umayai kama ule wa Fei Toto wakati anatoka JKU. Kipaji kikubwa, halafu laini laini.
Nkane kinachombeba ni spidi na ujanja ujanja wa uwanjani. Kwa bahati mbaya huyo Bruno hana. Ina ninakubali ana kipaji kikubwa cha kucheza soka.Yaani Nkane acheze Bruno ashindwe?
Singida timu mpya wachezaji wote wamekutana mara ya kwanza anafunga goli 8 na assist za kutosha katika msimu wa kwanza una doubt nae? Bruno ni zaidi ya Aziz Ki,Nkane kinachombeba ni spidi na ujanja ujanja wa uwanjani. Kwa bahati mbaya huyo Bruno hana. Ina ninakubali ana kipaji kikubwa cha kucheza soka.
mapendekezo ya kocha gani??Nasikiliza UFM kupitia kipindi Cha u live mtangazaj anasema Bruno Gomez n mwananchi je Ni kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fiston Mayele usajili wa mapendekezo ya kocha gani?mapendekezo ya kocha gani??
Ni kweli mzee mwenzangu, dogo ana ulaini ulaini ila kipaji kipo.Ila kama itakuwa kweli, basi atalazimika kuongeza fitness ya mwili wake. Maana dogo ana umayai kama ule wa Fei Toto wakati anatoka JKU. Kipaji kikubwa, halafu laini laini.
Mpira sio ngumi,neyma,chama,ronaldinho,okocha ni soft players ila sasaNi kweli mzee mwenzangu, dogo ana ulaini ulaini ila kipaji kipo.