Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.

Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa Tenda na serikali ya awamu ya 5 kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu yalianzisha jitihada za makusudi za kumkwamisha Rais JPM na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakksha Rais anapoteza imani kwa wananch wake na hadh yake ya urais inayeyuka na baadaye anawekwa mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.

Mifumo hii ya ulipaji iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa ,na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kibendera Na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia).

Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara, (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania).
Baada ya kupokea bahasha za tunu ,wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi, wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa, huweka data ,huingia online na kuanza kumtusi,Kejel,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa, hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani.

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa, na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua destruri hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Kama umetumwa basi kawaambie hatuja shawishika mana tunaakili sio kama wanavyo tufikiria.
Magereza na vyombo vya sola vyote awamu hii vinakazi moja, yaani vijuu yawale wote au kitendo chochote cha kumkosoa Raisi kuliko usalama na ustawi wa wananchi wake. Sisi tunajua kuwa Magu akihisi kuwa wewe ni hatari kwa uraisi wake ( hatakama hatari hii ni ndani ya sheria za nchi) atatumia vyombo vyetu vya dola kuku angamiza kwa maslahi yake binafsi katika kutawala kimabavu.
Kinacho sikitisha ni kuona anataka kutuhusisha wananchi kwa kusingizia kuwa mtu huyo ni hatari kwa taifa. Sio marayakwanza wakosoaji wake na serikali yake, kuwasingizia kuwa wanaitukana nchi na watanzania wake, wakati ukweli yeye ndo mlengwa, anatujumuisha wote ili tumtetee bila kujua.
 
Rubbish, nimeishia pale anaposema Kabendera alilipwa 200m kila mwezi. Pumbavu kabisa
 
Kwani kama hivyo vigezo vipo, kuna sababu gani ya kumchukia anayevionyesha? Ninyi ndio mnajiangalia kwenye kioo ukiona uso una tope au pua zina kamasi, macho yana tongotongo basi unaamua kuvunja kioo kwa kuwa kimekudhalilisha. safisha uso wako! Maana kama hayo madhaifu yapo, hata asipokuwa Kabenfera mwingine atayabainisha, na hata wao wanayaona. au unadhani hapa nchini hakuna mabeberu? Tunao mabalozi wa nchi mabeberu hapa kwetu, na tunayo mashirika na makampuni toka nchi za mabeberu hapa. Hivyo mnavyoficha hawatashindwa kuviona na kuvitumia kama wanataka. Rekebisheni njia zenu.
Kamwambia Kabendera haya maneno yako, alafu pia mwambie mtaenda kumtoa soon! Nyie si wapenda ukweli?
 
Mabeberu sio watu, ni vema serikali iwekeze kwenye tafiti juu ya mbinu zitumiwazo na mabeberu ku distabilise mataifa machanga. Hilo likifanyika tutajua mbinu za kapambana na kuwazuia. R I P Patrice Lumumba nawengine Kama Nkuruma etc
Huyu pimbi usimlinganishe na Patrice na Nkruma. Huyu takataka tu.
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.

Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa Tenda na serikali ya awamu ya 5 kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu yalianzisha jitihada za makusudi za kumkwamisha Rais JPM na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakksha Rais anapoteza imani kwa wananch wake na hadh yake ya urais inayeyuka na baadaye anawekwa mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.

Mifumo hii ya ulipaji iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa ,na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kibendera Na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia).

Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara, (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania).
Baada ya kupokea bahasha za tunu ,wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi, wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa, huweka data ,huingia online na kuanza kumtusi,Kejel,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa, hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani.

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa, na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua destruri hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Hebu think logically rais apotezewe imani na kabendera? Rais kajipotezea imani mwenyewe kwa vitendo vyake. Kama alikuwa hajui ajue kuwavunjia watu nyumba zao, kuwafukuza watu kazi kwa uonezi, kushindwa kuajiri, kushindwa kupandisha mishahara, kushindwa kuwalipa wastaafu, kula rambirambi za kagera, kuvuruga uchumi, kuharibu mzunguko wa fedha, kuwafungulia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha za uonezi, kushindwa kutekeleza ilani ya chama chake ccm alitumwa na Kabendera?
 
Joined Aug 18 2019 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_2019-08-20-14-26-00.jpeg
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.
Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
1. MWENZETU UMEWEZAJE KUONA NYUMA YA PAZIA KINYUME NA WENGI UNAOWASEMA?
2. JE, MUNGU ALIYE MLINZI WA KWELI ANAWAJIBIKA KUWALINDA WATU WA AINA GANI NA KINA NANI HAWASTAHILI ULINZI HUO?
3. UNAWEZAJE KUTUAMINISHA KAMA KAFANYA HAYO UNAYODAI, BILA YA KUMPA NAFASI NAYE AELEZE UPANDE WAKE ILI KUSIWE NA MLENGO MASLAHI?
4. KESI IPO MAHAKAMANI, TUSUBIRI MAHAKAMA IAMUE, USIWALISHE MAAMUZI MAJAJI.

Yehova ni Mungu wa Wote.
 
Sijui kuhusu huyo uliyemtaja lakini kuna mtu ambaye ni kama rafiki kwangu aliniambia yupo in dillema kwa sababu amefuatwa na watu wa nje kumuhaidi hela nyingi ili kuandika tafiti na makala za kuchafua serikali. Ni mtu aliyekuwa hata kulipa kodi ya nyumba huko tegeta ilikuwa inakua shida sana. Lakini ndani ya miezi mitatu akamaliza nyumba yake iliyomchukua miaka sita kumaliza. Akanunua magari mawili. Akaoa mke na wakaenda in an exotic island for honeymoon etc. Nilikuwa siamini haya mambo aisee, ila yapo sana. Watu wanakua wabinafsi na myopic sana na kukosa uzalendo.
Unajua maana ya uzalendo!?
 
Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
I say, CCM wako desparate sijawahi kuona!

Sasa mbona uraia hujaongelea? Nao ni mabeberu walimpa? Na kwa nini basi toka mwazno wasitaje kosa lake bali hadi wapekue simu yake ndio waone kosa la kutakatisha fedha?

Kuna watu ndani ya kichwa kuko hollow

Consipracy theory kila siku.
 
Kuna wakati natamani niandike MITUSI mizito kuwatusi wale woote wasioelewa siasa za ulimwengu zinavyokwenda

Wasioelewa kwamba hata siku moja mataifa ya magharibi hayajawahi kulitakia mema taifa lolote la Afrika

Mijitu hii ielewe pia kwamba waamerika wamo kwenye mkakati mzito kuhakikisha black population inamalizika Amerika

Mizwazwa hii ya kibongo ielewe pia kwamba na kwa ithibitisho kua Janga la ukimwi na majanga mengine ni laboratory planted kuiua minyani mweusi

Mizwazwa hii ya kibongo ijue kinachoendelea mataifa ya kiarabu kua ni mkakati kabambe unaosukwa Washington Dc na kuitumia mizwazwa mizawa ya nchi zao kuchinjana yenyewe

Ni mtindio huu wa ubongo wa mishkaj isiyoelewa toka Afrika ndio uliosababisha tunatawaliwa na wazungu

Wameshamaliza kututawala kwa nguvu...... sasa wamezikamata akili zetu wanazikatikia wapendavyo........


Aaaghhhhhhhhhhhhh!
 
Nadhani ungeweka wazi hizi kampuni na baadhi washirika wake,ila kwahili bandiko lako ningumu kuaminika
 
Hebu think logically rais apotezewe imani na kabendera? Rais kajipotezea imani mwenyewe kwa vitendo vyake. Kama alikuwa hajui ajue kuwavunjia watu nyumba zao, kuwafukuza watu kazi kwa uonezi, kushindwa kuajiri, kushindwa kupandisha mishahara, kushindwa kuwalipa wastaafu, kula rambirambi za kagera, kuvuruga uchumi, kuharibu mzunguko wa fedha, kuwafungulia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha za uonezi, kushindwa kutekeleza ilani ya chama chake ccm alitumwa na Kabendera?
Kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti,wewe umesoma hujaekewa,jitahidi uilewe content nzima kabla ya kukomenti
 
Back
Top Bottom