Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

UPUUZI MTUPU! 🤮🤮🤮

Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.
Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa Tenda na serikali ya awamu ya 5 kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu yalianzisha jitihada za makusudi za kumkwamisha Rais JPM na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakksha Rais anapoteza imani kwa wananch wake na hadh yake ya urais inayeyuka na baadaye anawekwa mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.
Mifumo hii ya ulipaji iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kibendera Na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia) Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali ,
Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya, Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 Za kitanzania na zaidi. Fedha hizi alizokua akiingizwa Kabendera ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania). Baada ya kupokea bahasha za tunu wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa huweka data huingia online na kuanza kumtusi,Kejel,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua destruri hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.
Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa Tenda na serikali ya awamu ya 5 kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu yalianzisha jitihada za makusudi za kumkwamisha Rais JPM na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakksha Rais anapoteza imani kwa wananch wake na hadh yake ya urais inayeyuka na baadaye anawekwa mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.
Mifumo hii ya ulipaji iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kibendera Na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia) Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali ,
Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya, Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 Za kitanzania na zaidi. Fedha hizi alizokua akiingizwa Kabendera ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania). Baada ya kupokea bahasha za tunu wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa huweka data huingia online na kuanza kumtusi,Kejel,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua destruri hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Hivi mnafikiri sisi wananchi ni wajinga wa kushindwa kuchambua mambo hadi nyie mtusaidie kutuonesha kuwa anafanya kazi??
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.
Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa Tenda na serikali ya awamu ya 5 kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu yalianzisha jitihada za makusudi za kumkwamisha Rais JPM na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakksha Rais anapoteza imani kwa wananch wake na hadh yake ya urais inayeyuka na baadaye anawekwa mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.
Mifumo hii ya ulipaji iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kibendera Na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia) Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali ,
Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya, Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 Za kitanzania na zaidi. Fedha hizi alizokua akiingizwa Kabendera ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania). Baada ya kupokea bahasha za tunu wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa huweka data huingia online na kuanza kumtusi,Kejel,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua destruri hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Ukitaka kumsaidia "mjinga" humzibi mdomo bali unamwacha aonyeshe ujinga wake ili umtibu kwa kumuelimisha. Kama labendera anapaka matope unaonyesha matope yake kwa kusema ukweli. Ndio maana ya kuwa na "mouth peace za serikali". Kinachoendelea kinajulikana ndani na nje na kinamadhara makubwa kuliko hayo "matope" anayapaka.
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.
Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa Tenda na serikali ya awamu ya 5 kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu yalianzisha jitihada za makusudi za kumkwamisha Rais JPM na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakksha Rais anapoteza imani kwa wananch wake na hadh yake ya urais inayeyuka na baadaye anawekwa mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.
Mifumo hii ya ulipaji iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kibendera Na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia) Kazi kubwa ya Kibendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali ,
Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya, Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani 95000 ambazo ni takribani milioni 200 Za kitanzania na zaidi. Fedha hizi alizokua akiingizwa Kabendera ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania). Baada ya kupokea bahasha za tunu wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa huweka data huingia online na kuanza kumtusi,Kejel,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua destruri hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Nonsense. Eat shit dumbass.
 
Mkuu ulichukua muda gani kuwaza hii na kuiandika? I mean tangu kupanga mawazo yako kuyahariri hadi kushika keyboard na kuanza kuandika hivi?

Anyway lililo kubwa kabisa, tena kubwa sana ni hiyo sentensi yako ya mwisho kabisa. SIJUI HATA KWANINI UMEIANDIKA HAPA!
Mkuu, mwandishi ametuletea habari ya kutufumbua macho japo masikio bado tu viziwi! Suala la money laundering nadhani huyo Kaflag alikuwa anapata pesa ila halipi ushuru kutokana na hicho kipato ndio maana wamemburuza kwa mashitaka ya ukwepaji kulipa ushuru na hivyo kutumia ukwepaji huo kutakasa pesa!! Nahisi harufu ya samaki aliyeoza kwa Kaflag!!
 
Nadhani itapendeza kama utaonesha kwa mifano thabiti n wap alipokosea bwana kaflag
 
Hakuna anaeshirikiana na mabeberu wala mambuzi jike,kumkwamisha Magufuli hivyo ni visingizio vya kuwawekea wananchi ndani na visingizio vya kuwapigia wananchi risasi.
 
Ubaya Ni kwamba wanao mtetea kabendera wanaongea walicho ambiwa sio wanachokijua wakijua, ukweli akili zitawakaa saw
Je tumuamini nani? Kila upande unazungumza kivyake. Tuiache mahakama itende haki na tumpe nafasi mtuhumiwa nafasi ya kujitetea ili athibitishe ana makosa au la
 
Nachoipendea serikali ya awamu hii, wananchi wakifikwa na mabaya wamejitakia wenyewe ila kiongozi akiambiwa ukweli, hao wasema ukweli wanaambiwa ni wahaini...



Cc: mahondaw
 
Kwahaya mashambulizi ya matusi dhidi ya huu uzi ni kiashiria tosha una ukweli ndani yake,na wanaotukana ndio wanaopata za vocha ,hivyo wanajaribu kulinda kibarua chao kinachowapatia za vocha.

Haiwezekani nguvu kubwa itumike namna hii.
 
wote tunajua kilichomtokea Gaddafi, wananchi wake walitumika wamporomoshe ikawezekana. enzi za utumwa mtu mweusi alikua akiingizwa kwenye system ya wazungu na kuwa sehemu ya jeshi la mkoloni na yeye anaanza kuwatesa weusi wenzake kama wanavyofanya wazungu. Mwafrika akiwekwa kwapani na mzungu anajihisi chosen one, anajihisi yupo privileged, na hapo ndipo anakua na roho ya kuigeuka asili yake.
mimi sina chama, naona CCM na CHADEMA wote wasaka tonge. ila nakereka sana kuona au kuskia mtu mweusi kama mimi akitumika na mzungu kuigeuka jamii yake na kusababisha machafuko.
 
Sijui kuhusu huyo uliyemtaja lakini kuna mtu ambaye ni kama rafiki kwangu aliniambia yupo in dillema kwa sababu amefuatwa na watu wa nje kumuhaidi hela nyingi ili kuandika tafiti na makala za kuchafua serikali. Ni mtu aliyekuwa hata kulipa kodi ya nyumba huko tegeta ilikuwa inakua shida sana. Lakini ndani ya miezi mitatu akamaliza nyumba yake iliyomchukua miaka sita kumaliza. Akanunua magari mawili. Akaoa mke na wakaenda in an exotic island for honeymoon etc. Nilikuwa siamini haya mambo aisee, ila yapo sana. Watu wanakua wabinafsi na myopic sana na kukosa uzalendo.
porojo kama porojo ya mtoa bandiko
 
Inabidi sasa mitaala yetu iwe na mada ya "International Sabotage". Mbona kama vile wadau wengi humu ndani hawaamini uwepo wa hujuma za kimataifa? Kwanini tunapenda kuamini kitu au jambo kama linavyoonekana? Kuna mambo mengi huendelea nyuma ya pazia jamani. Wazungu wenyewe husema "Nothing is as it seems"! Sio kila kitu unachokiona, unachokisikia, unachokihisi basi ndivyo killivyo!
Hujuma zinazofanywa na mabeberu kwa serikali za dunia ni endelevu. Hazijawahi kukoma, basi tu kuna wakati zinakuwa intense kidogo. Tuwashukuru wanaotupa hizi hints kwa awamu hii.
Wanaopenda umbeya wa kwenye vitabu wanaweza kupakua mtandaoni kitabu kiitwacho: Encyclopedia of Espionage, Intelligence and Security, Volume 1: Mtaona hujuma za mabeberu hadi kwa mimea ya chakula.
 
Kwahaya mashambulizi ya matusi dhidi ya huu uzi ni kiashiria tosha una ukweli ndani yake,na wanaotukana ndio wanaopata za vocha ,hivyo wanajaribu kulinda kibarua chao kinachowapatia za vocha.

Haiwezekani nguvu kubwa itumike namna hii.
Heee kumbe wanufaika wa vocha wapo humu pia!!
 
Back
Top Bottom