Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Acha kuleta habari za kizushi

Kabendera kaanza kufanya kazi za uandishi kwenye maagazeti ya nje toka enzi za JK

Mabeberu wakitaka kumhujumu JPM hawana shida ya kujisumbua, wanayo IMF na World bank, wana uwezo wa kumfanya asiuze nje bidhaa wala kupata msaada wowote wala mkopo wowote

Kwa hiyo acha stori zako za kijiweni

Hawawezi kujionyesha waziwazi hawa sio ndugu zako acha upofu. Kwani kule Kongo, Somalia , Libya, Afghanistan walishasema wao ndio tatizo? Wakikuta mbulula kama ninyi na wenzio unaowatetea basi wanawatumia kama toilet paper wakishavuruga nchi wanakuacha kuwa makini
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa, ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana, na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.

Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ unadumu.

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa tenda na serikali ya awamu ya 5 ,kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu, yalianzisha jitihada za makusudi, za kumkwamisha Rais JPM, na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapoteza imani kwa Raisi ,ili hadhi yake ya urais iyeyuke na baadaye waweke mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.

Mifumo hii ya ulipaji ,iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa ,na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kabendera na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia).

Kazi kubwa ya Kabendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani zisizopungua 95000, ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara, (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania).
Baada ya kupokea bahasha za tunu ,wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi, wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa, huweka data ,huingia online na kuanza kumtusi,Kejeri,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa, hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani.

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa, na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua desturi hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Unaweza kuweka hio bank statement ya Kabendera?
 
Kwa mwendo huu,Na yule jamaa mwenye jina la mwisho linalofanana na la Mwalimu ajiandae,haiwezekani auze vitabu mil 200 kwa mwezi kwenye mtandao wa mabeberu,anatakatisha fedha tu
 
Kama kuna nchi ambayo usije ukajidanganya kuwa utaweza kufanya Mipango yako Ovu ( Mibaya ) dhidi yake hasa ukilenga Kuuchafua Uongozi uliopo / Mamlaka iliyopo kwa Maslahi yako pamoja na hao wanaokutuma basi ni hii yetu ya Tanzania. Na ili uone kuwa Tanzania pia ina Watendaji Nyeti Wastaarabu na Waungwana kabisa huyu huyu Mwandishi nimedokezwa na Mtu kutoka huko huko kuwa baada ya Kugundulika anachokifanya alishafuatwa na Watu kama Wawili hivi ambao ni Wabobezi kama Yeye katika hiyo Tasnia ( japo Wao sasa wapo huko Idara Muhimu ) wakimsihi kuwa aachane Kutumika kwani ameshajulikana nadhani kwa Jeuri ya hizo Pesa na Kiburi cha hao waliokuwa wakimtumia akawa anawaonyesha dharau ( ukichanganya na ile ya Kabila lake ) na akiwaambia kuwa haogopi chochote / lolote lile. Na labda tu asichokijua huyu Mwandishi ni kwamba kati ya Watu ambao wamefanikisha Yeye Kukamatwa Kwake hivyo na hadi sasa kuwa Matatani hivi ni wale wale Marafiki zake, Wanaharakati na Wanasiasa baadhi kwa kutoa details zake za ndani kabisa halafu cha Kushangaza ili uone kuwa Watanzania tumebarikiwa kwa Sifa ya Unafiki ndiyo hao hao leo hii wanajifanya Kukimbilia Mitandaoni Kumtetea kuwa aachiwe huru na wengine wakijifanya Kuhudhuria Mahakamani hadi Kumpa Mkono wakati Kiuhalisia kumbe ni wao wao ndiyo wamemmaliza. Matatizo mengine huwa tunajitakia wenyewe na kamwe usimuamini Mtu yoyote bali jiamini tu mwenyewe.
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa, ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana, na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.

Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ unadumu.

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa tenda na serikali ya awamu ya 5 ,kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu, yalianzisha jitihada za makusudi, za kumkwamisha Rais JPM, na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapoteza imani kwa Raisi ,ili hadhi yake ya urais iyeyuke na baadaye waweke mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.

Mifumo hii ya ulipaji ,iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa ,na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kabendera na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia).

Kazi kubwa ya Kabendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani zisizopungua 95000, ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara, (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania).
Baada ya kupokea bahasha za tunu ,wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi, wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa, huweka data ,huingia online na kuanza kumtusi,Kejeri,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa, hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani.

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa, na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua desturi hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Hivi wakati unaandka hili,KICHWA CHAKO ULIKIACHA WAPI?
1.CHOONI
2.KWA MKEO?
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa, ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana, na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.

Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ unadumu.

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa tenda na serikali ya awamu ya 5 ,kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu, yalianzisha jitihada za makusudi, za kumkwamisha Rais JPM, na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapoteza imani kwa Raisi ,ili hadhi yake ya urais iyeyuke na baadaye waweke mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhiri.

Mifumo hii ya ulipaji ,iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa ,na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kabendera na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia).

Kazi kubwa ya Kabendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani zisizopungua 95000, ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara, (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania).
Baada ya kupokea bahasha za tunu ,wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi, wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa, huweka data ,huingia online na kuanza kumtusi,Kejeri,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa, hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani.

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa, na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua desturi hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla.
Na wewe hii umeambiwa au umechimba?! Tupe source
 
Chaka la viongozi wadhalimu ni kubambikizia wakosoaji kesi!
 
Mtu mchafu unawezaje kumchafua?

Mtu aliyekwama unawezaje kumkwamisha?

Yule mwenye kuudhi ndiye huchukiwa!
Yule mwenye kukera ndiye huchukiwa!

Kwa mwenye njaa Kipande cha mkate kinathamani kubwa kuliko mgodi wa dhahabu.
 
Nyie mtakuwa ni wazee lazima, bado mkono kwenye karne hii ya 21 mnaongelea siasa za mabeberu mambo ya karne iliyopita!?
ndugu, kwani mabeberu hawapo? na madikteta hawapo? kipi kwenye karne hii ambacho hakikuwepo karne zilizopita??? maana asilimia kubwa ya mifumo inayotumika leo iligunduliwa kwenye makarne hayo yaliyopita - me hata sioni jipya naona kama historia zinajirudia rudia tu hata ukora unaofanyika kwa pande zote ni ule ule ni nguvu zinataka kubaki madarakani kwa kivuli cha wananchi na nguvu zinataka watoke madarakani kwa kivuli cha wananchi maana wananchi ndo pawn wao, wasikusumbue wote wale wale tu
 
Back
Top Bottom