Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

Kabendera yupo ndani na bado tunaingia humu, hizo vocha si zingekua zimekata!? Ukweli wengi wa watu mnao unga mkono hata HOJA za kijinga ndio mnao ongoza kununuliwa almost kila kitu so mnadhani kila mtu yupo kama nyie

Mazindu Msambule,
Well said bro! Mungu anasema ktk maandiko Matakatifu: "WATU WANGU WANA ANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"
Huyu mleta mada ni chizi perce! Only CCM hooligans can believe this rubbish propaganda.
Kusema kwamba ati Kabendera anawalipa watu fedha ili wamwandike Rais vibaya ni propaganda za kihuni zinazotengenezwa toka Lumumba street.

Namtaka mleta mada hii atueleze pia ni MABEBERV gani wanaomlipa na kumfadhili mwandishi wa kujitegemea Bwana MUSIBA kumchafua Rais Magufuli???
 
Siwezi kumwombea mkabila hata siku moja. Na namwombea akwame sana.
 
This is stupidity yaani serikali inatumia nguvu na Kodi kuahakikisha mtu hatukanwi au kupewa so called kashfa ?, Who cares kama hao so called mabeberu wameamua kutupa pesa zao kuziweka katika mzunguko wa watu kupinga na kutoa kashfa.., si kuna wengi upande mwingine wanapamba na kusifia ?

Hiizi hoja za nguvu ni za kazi gani kwanini wasitumie hoja za nguvu kupinga yanayosemwa na sio kufungana, kunyamazishana na kuleta habari za kufikirika ?
 
This is stupidity yaani serikali inatumia nguvu na Kodi kuahakikisha mtu hatukanwi au kupewa so called kashfa ?, Who cares kama hao so called mabeberu wameamua kutupa pesa zao kuziweka katika mzunguko wa watu kupinga na kutoa kashfa.., si kuna wengi upande mwingine wanapamba na kusifia ?

Hiizi hoja za nguvu ni za kazi gani kwanini wasitumie hoja za nguvu kupinga yanayosemwa na sio kufungana, kunyamazishana na kuleta habari za kufikirika ?
Hili povu sio bure,utakua mnufaika wa senti za vocha
 
Mazindu Msambule,
Well said bro! Mungu anasema ktk maandiko Matakatifu: "WATU WANGU WANA ANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"
Huyu mleta mada ni chizi perce! Only CCM hooligans can believe this rubbish propaganda.
Kusema kwamba ati Kabendera anawalipa watu fedha ili wamwandike Rais vibaya ni propaganda za kihuni zinazotengenezwa toka Lumumba street.

Namtaka mleta mada hii atueleze pia ni MABEBERV gani wanaomlipa na kumfadhili mwandishi wa kujitegemea Bwana MUSIBA kumchafua Rais Magufuli???
Tulia wewe,hujui ya nyuma ya pazia ,ndio maana ikaitwa serikali,inamkono mrefu sana na macho mengi,acha kutoa povu,za vocha zinataka kuyeyuka?
 
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa, ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana, na yanapaswa kulaaniwa na kila mtanzania anayeipenda nchi hii.

Yapo Mengi ila yanawekwa bayana kwa uchache angalau watanzania Mjue sio kwamba Polisi wanaonea watu bali wanajitoa kuhahikisha uhai wa Taifa hili Tukufu la TZ unadumu.

Yataelezwa mambo makuu mawili, kimsingi mambo hayo yapo nyuma ya mashitaka yanayomkabili 1.Utakatishaji Fedha 2. Uraia
1.Utakatishaji Fedha..

Baada ya kunyimwa tenda na serikali ya awamu ya 5 ,kampuni 3 za kibeberu kutoka kwenye mataifa yenye nguvu, yalianzisha jitihada za makusudi, za kumkwamisha Rais JPM, na Kuchafua taswira nzima ya serikali yake.

Lengo lao kubwa ni kuhakikisha wananchi wanapoteza imani kwa Raisi ,ili hadhi yake ya urais iyeyuke na baadaye waweke mtu wao.

Kampuni hizo zilisuka mpango kabambe, zikatengeneza vikundi ambavyo vinahusisha wazawa na wasio wazawa, pia ikaundwa mifumo maalumu ya namna ya kuvifadhili.

Mifumo hii ya ulipaji ,iliwalazimisha wakuu wa mkakati huu (Mabeberu) kuwatumia wazawa ,na hapo ndo likaja wazo la kuwaajili (Recruit) Eric Kabendera na mjasiriamali Maarufu nchini(Anawekwa kapuni hadi wakati wake utakapowadia).

Kazi kubwa ya Kabendera ikawa ni kuhakikisha kuwa pesa ambayo itatumika kwenye kazi haramu (Kumuhujumu Rais na Serikali yake) inaingizwa kwa kupitia mifumo halali.

Kabendera akawa anaingiziwa pesa nyingi kama mwandishi wa kujitegemea, fedha ambazo kimsingi hazilingani na kazi anazozifanya,

Kabendera kwa mwezi ikawa anaingiziwa dola za kimarekani zisizopungua 95000, ambazo ni takribani milioni 200 za kitanzania na zaidi.

Fedha hizi alizokua akiingiziwa Kabendera, ndizo ambazo zilikua zinatumika Kulipa vikundi mbalimbali ambavyo vimezuka hususani mitandaoni ,kukwamisha kila jema alifanyalo Mh Rais.

Kila kikundi kina mkuu wake ambaye ndiye anawajibika kupokea tunu kutoka kwa Kabendera, Wakuu hawa ambao wamo wanasiasa na wengine wanaharakati uchwara, (Wanaharakati wenye ajenda ya pembeni tofauti na wanachojinasibu kukipigania).
Baada ya kupokea bahasha za tunu ,wao huwapatia vijana walio chini yao posho ndogo ndogo za vocha .

Vijana ambao ndo wengi, wakishapokea pesa hii ndogo huwa kama mbogo waliojeruhiwa, huweka data ,huingia online na kuanza kumtusi,Kejeri,Ongopea, beza na kumdhihaki Rais kwa kila namna wanayoweza.

Wengi wanafanya sababu ya njaa, hawajui wanaharibu amani ya taifa letu kwa maslahi ya nani.

Hivi ndivyo Kabendera hutakatisha mamilioni ya Fedha kuhakikisha Rais aliyejitolea kusimamia rasilimali za Watanzania anapotezwa, na nchi inaendela kuliwa na wachache kama iivyokua desturi hapo kabla.

Mlinzi wa Kweli ni Mungu watanzania tuzidi kumuombea JPM wakwame wao kabla
'Likes' zaidi ya tisini sasa, kudos mwamba[emoji122][emoji122]
 
Hawataweza hao mambumbu wapinga kila kitu.. Sisi wengi tunaona yanayofanyika ni mazuri na tuanaamini siku sio nyingi Tanzania itapaa kiuchimi kuliko hata kenya ama mchi zingine kama South Africa nk.. Mh Magufuri tuko bega kwa bega usitishwe na kelele za chura we endelea kunywa maji.. Hata wao watakuja kujiona ni wajinga kwa haya unayoyafanya siku sio nyingi kwani yaliwashinda marais wengi waliopita... Wapambane na hali zao walizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vimewashinda watupishe tujenge nchi.
Nyoooko ! Haaahaaaa nyie wala rambirambi .Shithole type
 
To be honest inawezekana wewe ni moja ya watu walioingia kwenye system kibahati mbaya. Sisi akina ngumbalo hatutegemei arguement za kiboya kabisa kutoka kwa mtu wa kaliba yako. Through your line of arguement nikiwa hapa Mwayaya na kaform four kangu ka 28 kutoka Munanila Sekondary nikisema kutokana na hoja yako ya kuwa the deceased With that connection with Europeans plus that Connection you are proud of that Kanfrag has Internationally, kwamba these two guys were working for them utasemaje. Yaani pamoja na taaluma yako umeshindwa kuwapa your fellas benefit of doubt kuwa inawezekana there was some thing big than what you think and what you have been told. Kumbuka wewe haupo ndani, there alot kwa sasa huyajui. Kuwa amewahi kutumiwa na kitengo haimzui kutumiwa na wengine, after all with these biography of his, he is the kind that wengi wangependa kufanya naye kazi.
Unenishangaza sana, kwa kaliba yako kuargue in a kindergarten outlook!
Ndio maana kakimbia nchi yake. Na yeye alikuwa na tabia chafu kama mwenzie Kaflag
 
Back
Top Bottom