Hakuna figisu wala nini imani za kichawi tu ndio zinatusumbua. Wewe kama bora bora tu, ulete Real Madrid hapo halafu fanya figisu zote na wachawi wote kusanya utachukua kichapo tu. Simba team kubwa haitakiwi kuogopa figisu na uchawi wewe bora piga mtu tu kiwanjani.Hutetei team ya mkoa kwa kutumia resources za serikali kufanyia figisu team zingine. Ni upumbavu Na ujinga
Huu ndio upuuzi unao wafanya Simba wakatae mazoezi Yao kushuhudiwa ,Hakuna figisu wala nini imani za kichawi tu ndio zinatusumbua. Wewe kama bora bora tu, ulete Real Madrid hapo halafu fanya figisu zote na wachawi wote kusanya utachukua kichapo tu. Simba team kubwa haitakiwi kuogopa figisu na uchawi wewe bora piga mtu tu kiwanjani.
Zina nguvu dar. Huku mikoani hata hatuzijui. Kwanza ndo tumejua kumbe timu ya simba ipo mwanza toka juziHujui kitu Simba na yanga,zinanguvu kubwa sana
Ubaya Ubwela Uwanjani, siyo kuja na mitutuSasa mnalia nini ubaya ubwela ndio huo
Itakua ulizaliwa ukiwa chizi ndo unapata ufahamu jitahidi kumaliza doziZi
Zina nguvu dar. Huku mikoani hata hatuzijui. Kwanza ndo tumejua kumbe timu ya simba ipo mwanza toka juzi
Aliwahi kuwa anaendesha genge la wapora mifugo ya Wananchi akiwa DC awamu ya MaguMtanda anacheza na moto
Kwa akili hizi ,wacha chama chakavu kiendeleeMnampamgia mkuu wa mkoa sehemu ya kuwa, wakati ndo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama