Half Genious
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 491
- 784
Tuzo ndio zinafanyika mara ya kwanza hizo za azam za mwaka jana ni ziff zanzibar shida iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba kujua Wema nae ni muigizaji? Mana naskia kapata tupo! !!Technical problem itakuwa ipo kwenye ubongo wenu. Hizo tuzo ndio mara ya kwanza kufanyika na mija ya masharti ni kuwa msanii apeleke kazi yake mwenyewe anayomilik kitu ambacho wasanii wengi wenye majina wameshindwa coz kazi nyingi huwa hawamiliki wao wenyewe. Yaani wameshauza japo yeye ndio actor mkuu. So gabo na wema wakapata hilo shavu la kushinda hz tuzo. Na coz ni mara ya kwanza kufanyika nahisi hawakuweka mashart ya muda wa filamu kuwa ziwe ni za muda gani so jamaa akapata mwanya ya kuingiza hiyo filamu yake ya mwaka juzi sijui jana. All in all kuwa jamaa walikuwa wapo sahihi.
Wema ni muigizaji na kapata kupitia filamu yake aliyoigiza inaitwa heaven sent.Mkuu naomba kujua Wema nae ni muigizaji? Mana naskia kapata tupo! !!
Kwangu mimi ukiniuliza nini maana ya Umaskini basi nitakuambia ni hiki ulichoandika. Kudhihaki ushindi wa Gabo bila kupendekeza mbadala wake ni umaskini uliotukuka.Hii nchi ni maskin kwa kila kitu, Gabo eti mshindi HAHAHHA
Kuna 'GABO' wawili mimi ninayemjua ni yule mchora katuni wa Kenya