Mimi akinitumia msichana nayempenda hata kama ninayo tayari nafungua tu
Kweli mkuu kuna mama mmoja humu hata akinitumia picha ya nyerere nafurahi tuDuh....!
Ni vzr mtu akikumbuka uonyeshe ushirikianoEeeeh
Safi sana
Hii kitu inaonyeshea mengi.. kama mimi hata naweza kujibu mtu/watu wafikiri nimeifungua kama haswa najua linalojiri..
Ikifika kwako hatajua kama ulifungua au la..unajibu tu
Hahaha ndicho ninachofanya hichi.We reply thank you and you too..usijiumize kudownload hayo makitu
Mimi kuna chache najibu bila kufungua, sasa moja mimi nikajibu 'same to u kumbe jamaa kaandika nawashukuru wote mliofanya nitabasamu mwaka huuEeeeh
Safi sana
Hii kitu inaonyeshea mengi.. kama mimi hata naweza kujibu mtu/watu wafikiri nimeifungua kama haswa najua linalojiri..
Ikifika kwako hatajua kama ulifungua au la..unajibu tu
Wala sithubutu maana najua wala hutasomaUsinitumie tafadhali.
Yaani wewe hata kunifowadia tule tugazeti umeshindwaWORD!