Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Habari WanaJF,
Wadau naona speed ya raia kuziuza hizi gari ambazo kimsingi zinaonekana ni gari fuel efficient na namba D.
Nimeshindwa kung'amua kama zina matatizo ama inakuwaje, hebu wenye moja na 2 jitokenzeni muweke bayana kisa na mkasa.
Maana unakuta chombo D namba body imenyooka mtu anataka 5m tu.
Wadau naona speed ya raia kuziuza hizi gari ambazo kimsingi zinaonekana ni gari fuel efficient na namba D.
Nimeshindwa kung'amua kama zina matatizo ama inakuwaje, hebu wenye moja na 2 jitokenzeni muweke bayana kisa na mkasa.
Maana unakuta chombo D namba body imenyooka mtu anataka 5m tu.