Dali Mpofu
Senior Member
- May 9, 2021
- 173
- 328
Hizi ni tamaduni za kiafrika kabla hatujaletewa dini ngoja niwape point yangu.
Mganga wa kwanza anakwambia utakuwa na ela sana lakini sharti utakiwi kulala na mwanamke nje ya ndoa ukifanya ivo umeharibu mashart, utakuwa maskini zaidi ya ulivyokuwa mwanzo.
Mganga wa pili anasema utakuwa tajiri sana pia upo huru kufanya kila aina ya starehe sharti usioe hurusiwi kuoa. Haya ni masharti,sasa kwa kuangalia ipi ni sahihi au angalau hapa. Hii ni post tu sasa tuulete kwenye uhalisia.
Mganga wa kwanza anakwambia utakuwa na ela sana lakini sharti utakiwi kulala na mwanamke nje ya ndoa ukifanya ivo umeharibu mashart, utakuwa maskini zaidi ya ulivyokuwa mwanzo.
Mganga wa pili anasema utakuwa tajiri sana pia upo huru kufanya kila aina ya starehe sharti usioe hurusiwi kuoa. Haya ni masharti,sasa kwa kuangalia ipi ni sahihi au angalau hapa. Hii ni post tu sasa tuulete kwenye uhalisia.