Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Mganga wa tatu atakwambia unatakiwa utembee na wanawake wengi utakavyo ila tu hutakiwi kurudia kupiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwepo mkuu ila utajiri ulihesabiwa kwenye mashamba , wake wengi ,mifugo wengi watoto wengi na sio kama baada ya ukoloni.kabla ya wazungu Africa hakukuwa hata na utajiri!.. dhana ya utajiri wameleta wao!
Kwan nimehukumu nn hapo mkuu nimesema umekosea? Mm nilichosema sipiti hizo njia basAcha kuhukumu hii ni post tuu tunafanya mfano kwenye uhalisia
Ya kwanza ndio nzuri kwa Mimi!Hizi ni tamaduni za kiafrika kabla hatujaletewa dini ngoja niwape point yangu.
Mganga wa kwanza anakwambia utakuwa na ela sana lakini sharti utakiwi kulala na mwanamke nje ya ndoa ukifanya ivo umeharibu mashart, utakuwa maskini zaidi ya ulivyokuwa mwanzo.
Mganga wa pili anasema utakuwa tajiri sana pia upo huru kufanya kila aina ya starehe sharti usioe hurusiwi kuoa. Haya ni masharti,sasa kwa kuangalia ipi ni sahihi au angalau hapa. Hii ni post tu sasa tuulete kwenye uhalisia.
Yawezekana nawewe ni mganga 😀😀Kwa nini hukuwauliza hao waganga