Poleee.ila nenda tu hospital kwnzNoma sana
Jana nimeanza kuendesha kuanzia asubuhi mpaka sasa hivi. Jana nimeendesha kama mara sita, wakati usiku nimeendesha zaodi ya mara kumi. Jana Nimetapika sana pia Mwili unakuwa wa moto sana. Vile vile naumwa kichwa sana..
Hizi dalili zote zimeanza jana, hapa najipanga niende hospital lkn kabla sjaenda mnaweza kunipa mtazamo wenu..
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteKuharisha na Kutapika kwa mkupuo Ni dalili ya Kipindupindu (Cholera).
Wahi kwenye kitengo Cha wagonjwa wa Kipindupindu haraka!
Asante sanaMkuu, tafuta dawa inaitwa Norzole, meza hiyo kwanza. Hapo unakata tumbo la kuharisha ndani ya dakika 10, highly effective ktk kuharisha, baada ya hapo kimbilia hospitali.
unaendeleaje mkuu?????
Hii dawa ni kiboko, mimi ilinitibu dalili za mwanzo za ulcers.Mkuu, tafuta dawa inaitwa Norzole, meza hiyo kwanza. Hapo unakata tumbo la kuharisha ndani ya dakika 10, highly effective ktk kuharisha, baada ya hapo kimbilia hospitali.
Ulienda Hospitali?
hahahahahah unazingua mzee babaMlaze[emoji443]peeema[emoji441]pepoooni kamaaanda[emoji443][emoji442]buriani naaga[emoji30]maseelaaa[emoji443]buriani naagaa maaasela[emoji442][emoji441][emoji441]
I'm AliveMlaze[emoji443]peeema[emoji441]pepoooni kamaaanda[emoji443][emoji442]buriani naaga[emoji30]maseelaaa[emoji443]buriani naagaa maaasela[emoji442][emoji441][emoji441]
Nimeenda nimepatiwa dawa, wadudud hawaonekani kwenye damu wala choo. Kumbuka naharisha damu.. Kwa hyo nimepewa dawa ya kuua amoeba flan ambao wanasababisha kuhara damu japo dokta kasema na ngumu kuwaonaUlienda Hospitali?
MGC
Mkuu kwamba inatibu na ulcers pia?Hii dawa ni kiboko, mimi ilinitibu dalili za mwanzo za ulcers.
Amoebic dysentery, inatibiwa kirahisi na fragile. Ila ukizembea unaweza kataNimeenda nimepatiwa dawa, wadudud hawaonekani kwenye damu wala choo. Kumbuka naharisha damu.. Kwa hyo nimepewa dawa ya kuua amoeba flan ambao wanasababisha kuhara damu japo dokta kasema na ngumu kuwaona
Sent using Jamii Forums mobile app
dalili za ulcers Ni zipi kwako?Hii dawa ni kiboko, mimi ilinitibu dalili za mwanzo za ulcers.