Hizo Dhahabu zinazo chimbwa Geita na kwingineko kanda ya Ziwa, mbona bado Umasikini uko juu sana?

Hizo Dhahabu zinazo chimbwa Geita na kwingineko kanda ya Ziwa, mbona bado Umasikini uko juu sana?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
Sidhani kama umefanya utafiti vizuri! Dhahabu imesaidia sana Vijiji vingi huko Geita na Kahama kuwa na uchumi mzuri!
Tokea 2015 wachimbaji wadogo wengi wamenufaika sana na dhahabu!
Mfano mzuri hata ukiwa njiani kutoka Mwanza mpaka Katoro ni nadra sana kuona nyumba ya Nyasi!
Huko kwa Dr Msukuma sijafika ila nijuavyo mimo vijiji vingi vya Geita vimechanmka na wanajenga nyumba za kisasa tofauti na kipindi madini yanachimbwa na Wazungu tu na wazawa wakiwa watazamaji!
 
Kwani ni Dhahabu tu? Nchi hii ina Resources nyingi sana lakini zinawanufaisha wachache na Wakoloni lakini sio Wananchi

Umasikini upo palepale, Shule hazina madawati ya kutosha, Maji shida na barabara ni mbovu mno lakini makampuni yanayochimba hizo dhahabu yanalipa kodi ya kutosha
 
Rasilimali za nchi hii zipo kwa ajili ya kufaidisha tabaka tawala kwa sababu watanzania 99.9%, unayoyasema hayo yanawezekana.
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
Pesa nyingi zinatumika kujenga miji ya dodoma kwa majumba mengi ya gorofa, barabara za lami n.k. Miradi ya kuondoa umaskini, maradhi na ujinga inabidi kusubiri au kwa spidi ndogo. Hivi ni vipaumbele kwa nchi nyingi za ki Afrika.
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
Kuna methali inasema kwenye miti hakuna wajenzi.

Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha mikoa ya nyanda za juu kusini ni mojawapo ya mikoa inayoongoza kwa utapiamlo na udumavu kwa sababu ya kukosa lishe bora ijapokuwa ndio wazalishaji wakubwa wa chakula nchini.

Iko hivyo pia maeneo yote ya uchimbaji duniani huwezi kutwa yamejengeka kama ilivyo Dar es salaam. Huwezi kuta kuna shughuli mbalimbali za kiuchumi kama ilivyo maeneo yasiyo ya machimbo.

Wananchi wa kawaida hawana uwezo wa kupata dhahabu yenye thamani ya juu ili kujikwamua kiuchumi. Dhahabu kwa kiwango kikubwa inaanza kupatikana kuanzia mita 60 chini hivyo inahitaji heavy machines ili ikufaidishe . Ni mtanzania gani wa kawaida ana uwezo huo?
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.

Tatizo ni kila idara kuwa na mfuko wake na matumizi yake kama wanavyotaka .
pesa zinazotokana na madini ,utalii na Bandari ,na tozo za Halmshauri zingeingia kwenye mfuko wa hazina hii nchi kwa mwezi ingekusanya zaidi ya Trilio kumi.

Na bunge lingekuwa na maana hasa ya kupanga bajeti kwa kwa kila Idara lakini hapa kuna kichekesho kwa kila mfumo kujipangia matumizi na mishahara na makusanyo yake kidogo ndicho huenda hazina.

mfano tu TANESCO kila sekunde inaingiza pesa lakini haina pato kubwa kama kiwanda kimoja tu cha maji cha Bahressa.
Eti TANESCO inaendeshwa kwa hasara. Shen... sana
 
Sidhani kama umefanya utafiti vizuri! Dhahabu imesaidia sana Vijiji vingi huko Geita na Kahama kuwa na uchumi mzuri!
Tokea 2015 wachimbaji wadogo wengi wamenufaika sana na dhahabu!
Mfano mzuri hata ukiwa njiani kutoka Mwanza mpaka Katoro ni nadra sana kuona nyumba ya Nyasi!
Huko kwa Dr Msukuma sijafika ila nijuavyo mimo vijiji vingi vya Geita vimechanmka na wanajenga nyumba za kisasa tofauti na kipindi madini yanachimbwa na Wazungu tu na wazawa wakiwa watazamaji!
Ahsante mkuu...umejibu vizuri sana..na Sina uhakika ukiondoa Dar na Mwanza Kama Kuna mkoa wananchi wake wanakipato kikubwa Kama mkoa wa Geita..Ni kweli bado si wote wamenufaika sana..Ila kwa kiwango kikubwa uchimbaji wa dhahabu umegusa wananchi wengi sana wa mkoa huu..na uchumi wa walio wengi ni mzuri sana.
Rai kwa waziri wa madini kutoa msukumo mkubwa katika kuwasaidia wachimbaji wadogo wadogo kwa kupunguza msusuru wa Kodi na gharama kubwa ya vifaa vya uchimbaji pamoja na urasimu wa kuapata leseni..Pia hawa wachimbaji wasaidiwe kupata mikopo yenye riba nafuu kutoka kwenye mabenki ili waweze kununua vifaa vya kisasa vya uchimbaji na wataalamu wa Wizara watumie muda mwingi huko kwenye machimbo badala ya kukaa ofisini muda mwingi ili wawajengee elimu wachimbaji
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
Hiyo inaitwa National economy and social development strategies of an existing government , serikali iliyoko madarakani ilivyo jipanga kuinua kipata cha mtu mmoja mmoja
 
Mi naiona Tanzania yenye madini mengi ila ni maskini ya kutupa....
Waliosaini mikataba ya madini na wazungu Mungu anawaona !
Awamu ya 3 na ya 4 !
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Enzi hizo alikuwa Mheshimiwa Andrew Chenge !
Mzee wa Vijisenti !!
Sijui ni kwanini hiyo Mikataba haijainufaisha Nchi na hata mikoa tu ya kanda ya Ziwa ! (3%) Mwamba alisemaga tumechezewa sana ndugu zanguni 😅😳🙌🤦🏽‍♂️
 
Mi naiona Tanzania yenye madini mengi ila ni maskini ya kutupa....
Sasa umasikini ukiisha wanasiasa wataongea nini wakiwa wanatafuta kula, kwenye nchi zetu hizi umasikini ni dili.
 
1728845719565.png

1728845750384.png

1728845794168.png

1728845891050.png

1728845913359.png
 
Sidhani kama umefanya utafiti vizuri! Dhahabu imesaidia sana Vijiji vingi huko Geita na Kahama kuwa na uchumi mzuri!
Tokea 2015 wachimbaji wadogo wengi wamenufaika sana na dhahabu!
Mfano mzuri hata ukiwa njiani kutoka Mwanza mpaka Katoro ni nadra sana kuona nyumba ya Nyasi!
Huko kwa Dr Msukuma sijafika ila nijuavyo mimo vijiji vingi vya Geita vimechanmka na wanajenga nyumba za kisasa tofauti na kipindi madini yanachimbwa na Wazungu tu na wazawa wakiwa watazamaji!
Chief usibishe geita kumetamalaki umaskini wa kutisha. Fursa ni kama hakuna mpaka vijana wamejiajiri kuendesha baiskeli za abiria ili kujinusuru na umaskini wa kutisha.

Ukija kwenye miundo mbinu hali ni mbaya zaidi geita mpaka sasa wilaya zake zote hazijaunganishwa na barabara za lami ni vumbi tupu! Just imagine dhahabu zote zile lakini wilaya zake barabara za kiwango cha lami imekuwa anasa!
 
Chief usibishe geita kumetamalaki umaskini wa kutisha. Fursa ni kama hakuna mpaka vijana wamejiajiri kuendesha baiskeli za abiria ili kujinusuru na umaskini wa kutisha.

Ukija kwenye miundo mbinu hali ni mbaya zaidi geita mpaka sasa wilaya zake zote hazijaunganishwa na barabara za lami ni vumbi tupu! Just imagine dhahabu zote zile lakini wilaya zake barabara za kiwango cha lami imekuwa anasa!
Hayo mengine ni ya serkali ila nikwambie tu katika vijana wenye fedha ni wa Geita!
Geita unasema ni masikini vijijini nakushangaa mbona nchi nzima hali inafanana na mbona Geita ina miji midogo mingi na yenye maendeleo kama Katoro,Kasamwa,Karumwa,Nyarugusu,Chato nk!
 
Hayo mengine ni ya serkali ila nikwambie tu katika vijana wenye fedha ni wa Geita!
Geita unasema ni masikini vijijini nakushangaa mbona nchi nzima hali inafanana na mbona Geita ina miji midogo mingi na yenye maendeleo kama Katoro,Kasamwa,Karumwa,Nyarugusu,Chato nk!
Uzuri huko kote nishafika ninachoongelea hapa sio minority ni majority ya wakazi wa geita waba hali ngumu sana za kimaisha
 
Uzuri huko kote nishafika ninachoongelea hapa sio minority ni majority ya wakazi wa geita waba hali ngumu sana za kimaisha
Nchi hii watu wako bize kutetea ujinga mtu anakuambia geita watu wanakipato kikubwa ilihali ukienda kwa observation ya macho tu unaona hali ya umaskini ulivyotamalaki
 
Back
Top Bottom