Hizo Dhahabu zinazo chimbwa Geita na kwingineko kanda ya Ziwa, mbona bado Umasikini uko juu sana?

Hizo Dhahabu zinazo chimbwa Geita na kwingineko kanda ya Ziwa, mbona bado Umasikini uko juu sana?

Chief usibishe geita kumetamalaki umaskini wa kutisha. Fursa ni kama hakuna mpaka vijana wamejiajiri kuendesha baiskeli za abiria ili kujinusuru na umaskini wa kutisha.

Ukija kwenye miundo mbinu hali ni mbaya zaidi geita mpaka sasa wilaya zake zote hazijaunganishwa na barabara za lami ni vumbi tupu! Just imagine dhahabu zote zile lakini wilaya zake barabara za kiwango cha lami imekuwa anasa!
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
Nadhani wakazi wa asilia wa Geita ni masikini kuliko watu wote duniani wanaoishi maeneo ya machimbo. Angalia nyumba wanazoishi ni duni, ukiwa barabara kuu huwezi kuona ila ukiingia ndani walau nusu kilometa ndo utajionea makazi duni kabisa ya wananchi wa Geita.
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.
Hunufaisha wachache
 
Nadhani wakazi wa asilia wa Geita ni masikini kuliko watu wote duniani wanaoishi maeneo ya machimbo. Angalia nyumba wanazoishi ni duni, ukiwa barabara kuu huwezi kuona ila ukiingia ndani walau nusu kilometa ndo utajionea makazi duni kabisa ya wananchi wa Geita.
Ccm wanavyohusudu madini sasa utadhani waako marekani.

Inonekana wanafaidika wao
 
Hayo mengine ni ya serkali ila nikwambie tu katika vijana wenye fedha ni wa Geita!
Geita unasema ni masikini vijijini nakushangaa mbona nchi nzima hali inafanana na mbona Geita ina miji midogo mingi na yenye maendeleo kama Katoro,Kasamwa,Karumwa,Nyarugusu,Chato nk!
Acha uongo pesa hazijifichi sehemu zilipo
 
Bado ni masikini Kwa sababu ya mfumo wa ugawanyaji mapato ya nchi.pesa inayopatikana huko hupelekwa dar esalaamu na majiji mengine kujenga miundombinu ya kijamii wakati huohuo huko wakipewa robo ya mapato ambayo nayo huishia Kwa viongozi Wala rushwa.Ndiyo maana makamanda wa chadema waliliona Hilo na kutaka endapo wataingia madarakani wataunda serikali za majimbo ambapo mapato ya sehemu husika yataendeleza sehemu husika na kiwango kidogo ndiyo kitapelekwa serikali kuu.peopleeees
 
Nadhani wakazi wa asilia wa Geita ni masikini kuliko watu wote duniani wanaoishi maeneo ya machimbo. Angalia nyumba wanazoishi ni duni, ukiwa barabara kuu huwezi kuona ila ukiingia ndani walau nusu kilometa ndo utajionea makazi duni kabisa ya wananchi wa Geita.
Sio kweli, mbona chunya Kuna machimbo na wakazi wanaozunguka hayo maeneo ni maskini pia sana? Kuna hoja nyingine zaidi ya hii uliyoandika

Sehemu nyingi za machimbo hali ni hiyo hiyo. Hata ukienda nyamongo north Mara Hali ipo hivyo
 
Ukimsikia Raisi anaongea kule Geita unaweza dhania ni eneo lenya maisha ya juu kabisa kwa Raia ila ukweli kuna umasikini mkubwa sana kwa raia pale Geita, nenda huko Geita Vijijini kwa Msukuma kule ndio balaa tupu ni full umasikini wa kuonekana kwa macho.

Hio Geita ukisikia wakina Musukuma wanajinasibu unaweza dhania huko Geita mabomba yanatoa maziwa badala ya maji ila kumbe ni full umasikini.

Badala ya daily kusifia ujinga watawala wanapaswa ku adress swala la umasikini wa vipato kwa raia ambao wanazungukwa na utajiri mkubwa sana wa madini.

Yes Geita kuna Dhahabu ila kuna umasikini mkubwa sana na sijiu siku dhahabu inaisha itakuwaje kama kwa sasa kuna dhahabu na kuna umasikin vipi siku dhahabu inaisha?

Nzega ule Mgodi wa Resolute kule nzega si wamecha mashimo tupu na umasikini?

Ile North Mara nayo kikubwa wataacha mashimo na Umasikini wa Raia wa Tarime, make ukisikia Norty Mara kama hujafika huko utajua Raia wana maisha mazuri kumbe hakuna kitu.

Huwezi ona jitihada za watawala kutatua changamoto za umasikini wa vipato kwa raia badala yake wako busy na miradi ya vitu.

Raia wanabakia masikini ili CCM iwatumie kwenye siasa.

Wangej8funza kwa Botswana. Kuna vitu vingi kama asilimia Tani hadi kumi itumike kujenga vitu vya maendeleo kama hospitali, shule, maji, umeme, masoko, barabara zinajengwa, hadi kufikia kuwalipa wananchi asilimia flani ya mapato ya jimbo lao.
 
Back
Top Bottom